Aje Tena?Kumekuchaaaaaa
Mbona tunajadili Hili suala Kwa mihemko sana. Hivi kuuliza kuhusu kidney donation akili yako inakupeleka kwenye umaskini TU? Hujataka hata kujihoji kwamba ni kwanini huyu mtu anauliza? Hebu tuachane fikra za kifukara hizi😔Umaskini unalemaza vijana na kuwajeruhi akili.