Ni wapi Duniani Mataifa yenye Demokrasi Rais ni mwenyekiti wa Chama?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,810
Wakati Serikali ya Magufuli ilipozuia Matangazo ya Moja kwa moja ya Bunge kupitia TBC. Wakatumia hila na hadaa, mojawapo ya hoja zao ilikuw ni kwa njia ya swali, Pm Majaliwa alihoji apewe mfano wa Nchi Duniani ambapo Bunge linarushwa moja kwa moja. Nikajibu Marekani kupitia CSPAN1 -3

Sasa mimi ninaswali kwao Leo Ni nchi gani Kati ya Nchi za Kidemocrasia ambapo Rais ni Mwenyekiti wa chama Tawala? Na msiniletee mifano ya China na Korea ya Kaskazini maana hawana Demokrasia.

Kama jibu hakuna mimi nashauri Kikwete au Mtu mwingine imara Kama Mkapa, nk wawe mwenyekiti wa CCM, maana nafikiri pamoja na kupambana na Rushwa Mh. Magufuli ni kati ya wale watu Wanoko, Mwingine akiumia au kuathirika yeye anapata kauroda. Na kama jambo litampa Sifa hajali kama jambo hilohilo limemtoa mtu Machozi ya Damu. The people with this condition are called Schadenfreude they should always be under somebody or a system which can keep them in check else they will cause misery to many.
 
Mmeshaanza kumgwaya baba jessy. CCM maslahi ndo mnapambana kwenye hii vita.
Yetu macho. Sala na dua zetu mvurugane.
 
H
Sisi tunataka maendeleo, whether rais ni mwenyekiti au hapana, nchi ilipofikia inahitaji kiongozi dictator, ona Rwanda walivyo mbali kimaendeleo, ni kwa sababu kagame ni strong na mkali
Hujui unachoongea, Bora nilale njaa kuliko kupangiwa saa ya kulala
 
I like this : "Ni heri nilale njaa kuliko kupangiwa saa ya kulala".
Nadhani atakuwa Churchill aliyewahi kusema kitu kama " Democracy is the worse system for our government, but the vice versa is the worst". Maendeleo yaletwayo na udikteta kwa wakati uliopo, hayalingani na madhara yajayo baada ya udikteta kuondoka. A democratically elected dictator ni mbaya zaidi kwa sababu hana gurantee ya kubaki baada ya miaka 10. Democracy is the only way of balancing turns between dictators and democratics. Simaanishi kuwa JPM ni dikteta wala JK kuwa ni mwana demokrasia. I am just playing with theories about democratic machineries.
 
Wakati Serikali ya Magufuli ilipozuia Matangazo ya Moja kwa moja ya Bunge kupitia TBC. Wakatumia hila na hadaa, mojawapo ya hoja zao ilikuw ni kwa njia ya swali, Pm Majaliwa alihoji apewe mfano wa Nchi Duniani ambapo Bunge linarushwa moja kwa moja. Nikajibu Marekani kupitia CSPAN1 -3

Sasa mimi ninaswali kwao Leo Ni nchi gani Kati ya Nchi za Kidemocrasia ambapo Rais ni Mwenyekiti wa chama Tawala? Na msiniletee mifano ya China na Korea ya Kaskazini maana hawana Demokrasia.

Kama jibu hakuna mimi nashauri Kikwete au Mtu mwingine imara Kama Mkapa, nk wawe mwenyekiti wa CCM, maana nafikiri pamoja na kupambana na Rushwa Mh. Magufuli ni kati ya wale watu Wanoko, Mwingine akiumia au kuathirika yeye anapata kauroda. Na kama jambo litampa Sifa hajali kama jambo hilohilo limemtoa mtu Machozi ya Damu. The people with this condition are called Schadenfreude they should always be under somebody or a system which can keep them in check else they will cause misery to many.
Mkuu,
Sie hua hatuigi wengine wanafanyaje. Sie hua tunapenda kuanzisha yetu ili wengine ndio waige kwetu. Kwa mfano kwani ni wapi Duniani ambako zimeungana Nchi mbili lakini Nchi moja ina serikali yake binafsi (Zanzibar)lakini nchi ya pili (Tanganyika) haina serikali yake binafsi bali ina serikali ya wote wawili (Tanzania)??

Au ni wapi umeona watu haohao (Wazanzibar) wanapiga kura zipatazo tano mahali hapohapo na siku hiyohiyo, lakini kura 3 katika hizo 5 zinaonekana kua kuna ukiukwaji mkubwa hivyo zinafutwa, lakini kura 2 zilizobakia zinaonekana kua ni halali kabisa na uchaguzi ulikua huru na wa haki kabisa??

Kwa hiyo acha sisi tuwe waanzilishi na wengine waige kwetu mkuu wangu
 
Sisi tunataka maendeleo, whether rais ni mwenyekiti au hapana, nchi ilipofikia inahitaji kiongozi dictator, ona Rwanda walivyo mbali kimaendeleo, ni kwa sababu kagame ni strong na mkali
1. Ni kweli tunahitaji maendeleo bila kujali kama anayetuongoza ni mwenyekiti wa chama chake au 2. Si kweli hata kidogo kwamba "kuwa strong na mkali" ni sawa na "kuwa dictator" kama uivyodai hapa.
3. Pamoja na ukali wake, maamuzi yake, misimamo yake, na mambo yake yote, mpaka sasa rais Magufuli bado si kiongozi wa kiimla (si dictator).
4. Ishia tu kuomba tupate viongozi imara lakini si viongozi wa kiimla (dictators). Hao ni hatari kuliko unavyofikiri. Hapo unapotaka kiongozi dictator nadhani "umeteleza" mkuu. Naamini hakuna na maana hasa ya dictator.
 
Sisi tunataka maendeleo, whether rais ni mwenyekiti au hapana, nchi ilipofikia inahitaji kiongozi dictator, ona Rwanda walivyo mbali kimaendeleo, ni kwa sababu kagame ni strong na mkali
Ushawahi fika Rwanda ww?????????? Au umekaririshwa

Nakushauri nenda Rwanda usiseme kitu ambacho Huna Evidence nacho

Kwa ufupi Rwanda n gereza ambalo Lipo chini ya bwana jela

Wafungwa wote kila kitu n ndio mzeee

Hata habar hazichapishwi bila kuhaririwa na mhariri mkuuu wa serikali hata za vyombo binafsi

Unasifia Rwanda manake unasifia gereza kuwa lina maendeleo
 
Maskini tulishaumia kabisa kabisa kabla kwa hiyo awe dictotor ama mwana democracy muziki wowote tutaucheza!Tumedhulumiwa kwenye demokrasia,tukilazimishwa kulala kwenye udikteta haitusumbui.Tumeuwawa kwenye elimu kupitia st kayumba,tukitukanwa vilaza,haituumizi mioyo maana tunajua hilo liliandaliwa makusudi ili watu wengine wenye bahati ya kuzaliwa kwenye familia bora waonekane wana akili,na watutawale basi.Tulilala kwa uji wa unga mbovu wakati wa ulanguzi enzi hizo,na leo tunapata kumi na kulipa tano(kodi na ushuru),tumaini letu ni kwa Mungu tu,maana zaidi ya hapo,naogopa hata kusema!Mungu ibariki Tanzania

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Endelea kuangalia hiyo demokrasia kwa upana zaidi. Ni wapi duniani viongozi wa vyama vya siasa wanaongoza miaka mingi bila kuachia kama ilivyo kwa vyama vyetu hapa Tanzania? Wakati mwingine macho yetu binadamu yanaona kile tulichochagua kuona tu.
 
Kwani ni lazima tuige kila kitu? Kwa hiyo kwa vile Marekani na Uingereza wanatambua ndoa za jinsia moja kwa lengo tu la kudumisha demokrasia na sisi tuwaige? Tumia akili

Mbona mmeiga kutoonesha matangazo ya bunge?
 
Wakati Serikali ya Magufuli ilipozuia Matangazo ya Moja kwa moja ya Bunge kupitia TBC. Wakatumia hila na hadaa, mojawapo ya hoja zao ilikuw ni kwa njia ya swali, Pm Majaliwa alihoji apewe mfano wa Nchi Duniani ambapo Bunge linarushwa moja kwa moja. Nikajibu Marekani kupitia CSPAN1 -3

Sasa mimi ninaswali kwao Leo Ni nchi gani Kati ya Nchi za Kidemocrasia ambapo Rais ni Mwenyekiti wa chama Tawala? Na msiniletee mifano ya China na Korea ya Kaskazini maana hawana Demokrasia.

Kama jibu hakuna mimi nashauri Kikwete au Mtu mwingine imara Kama Mkapa, nk wawe mwenyekiti wa CCM, maana nafikiri pamoja na kupambana na Rushwa Mh. Magufuli ni kati ya wale watu Wanoko, Mwingine akiumia au kuathirika yeye anapata kauroda. Na kama jambo litampa Sifa hajali kama jambo hilohilo limemtoa mtu Machozi ya Damu. The people with this condition are called Schadenfreude they should always be under somebody or a system which can keep them in check else they will cause misery to many.
mbona unaandika uharo hivi!? una kipindupindu??
 
Wala hatuumizi kichwa kina ninyi mnaotoa mawazo machafu kama haya mmetumwa na kijani ...ili kijani ipate nafasi ya kuhalalisha uchafu huo...kama unafikiri hivyo ni sawa na kufikili pumba...demokrasia ndio chanzo cha maendeleo dunian wala sio udictator kama mnavotaka kuhadaa wanch ili mpitishe yenu....botswana ni nchi ya kidemokrasia kweli miaka zaidi ya 40 cheki walivyopiga hatua wanakuwa wanashika nafasi ya 3 africa kwa maendeleo ,uchumi na huduma safi na utawala bora. udictor ni kujichimbia kaburi kama libya..ule udictor haukusaidia kitu bali uliangusha taifa lote..usidanganyike et libya ilivamiwa na mataifa kwan walioanza kuandamana kwa kuchoshwa na udictor walitoka marekan lahasha ni raia wa libya wenyewe sasa utamu wa udictor akaanza kuwamiminia mabomu na kuteketeza raia wake then UN kazi yake ni kuhakikisha binadamu analindwa wakaona ni bora apigwe mmoja ili wengi waliokuwa wakiuliwa na dictor wapone!!!!!!!

udictor ni sawa na kuliweka rehani taifa....fuatilia mifano ktk nchi zote zilizokuwa kinara wa udictot na wengine waliosalia wanafuata kuhatarisha mataifa yao
Angalia maisha wanaoishi sasa watu wa libya na maisha waliokua wanaishi kabla ya sasa halafu urudi hapa useme kitu toka moyoni sio kuzungumza "kinafiki"
 
Back
Top Bottom