Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kusaidiana katika jamii ni muhimu sana, shida haina adabu wala haichagui. Sisi tunaoidhi Dar Mara nyingi tunapokea wagonjwa wanaokuja kutibiwa Muhimbimbili.
Mgonjwa ni mtoto wa jirani yenu kule Kaliua anamatatizo ya moyo na wamepewa barua waje Muhimbili. Familia haijiwezi na ili kupata nauli ilibidi wauze mbuzi wote na walimuendea mzee wako ili kuomuomba wafikie kwako.
Kwako unaishi kwenye chumba na sebule, ingawa mgonjwa amelazwa hospital lakini amekuja na wazazi wake wote wawili, mama yake mkubwa na shangazi yake.
Fikiria tu machungu wanayopitia hawa. Mama mkubwa na shangazi wamekuja kumsaidia mama mzazi kupika na kufua nguo za mgonjwa.
.
Mgonjwa ni mtoto wa jirani yenu kule Kaliua anamatatizo ya moyo na wamepewa barua waje Muhimbili. Familia haijiwezi na ili kupata nauli ilibidi wauze mbuzi wote na walimuendea mzee wako ili kuomuomba wafikie kwako.
Kwako unaishi kwenye chumba na sebule, ingawa mgonjwa amelazwa hospital lakini amekuja na wazazi wake wote wawili, mama yake mkubwa na shangazi yake.
Fikiria tu machungu wanayopitia hawa. Mama mkubwa na shangazi wamekuja kumsaidia mama mzazi kupika na kufua nguo za mgonjwa.
.