Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Kama Watu tunao, Ardhi tunayo, Siasa safi tunayo, na Uongozi bora tunao, kwanini hatuendelei? Wadau kama mnakumbuka vizuri, enzi za Mwalimu tuliambiwa kuwa, ili tuendelee, tunahitaji vitu nilivyovitaja hapo juu. Sasa ni wakati wakuwauliza viongozi wetu, kama vyote hivyo tunavyo, kwanini hatuendelei???