Ni wakati wa Kabendera kuandika in the name of president part 2

Ni wakati wa Kabendera kuandika in the name of president part 2

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Unafiki wa waandishi wa Tanzania vibaraka wa wazungu ndio utauona hapa Sasa.

Watu Kama kabendera sasahivi yupo kimya kwa sababu maslahi yake hayajaguswa!!

Kabendera yanayotokea hayaoni hata kuandika Habari za uchunguzi juu ya utekaji kimya

Yule jamaa aliyetekwa buza Yuko wapi mpaka leo? Ila kabendera kimya

Nashauri atoe in the name of president part 2 kama sio mnafiki!!
 
Back
Top Bottom