Ni wakati sasa JWTZ ifanye manuva kama ya Marekani kwa Mange Kimambi

Ni wakati sasa JWTZ ifanye manuva kama ya Marekani kwa Mange Kimambi

Waende marekani kimya kimya wamnyakue Mange kimambi ile shwaaa waje nae wamkabidhi kwa Mwana sheria mkuu.

Uzi tayari
Screenshot_20251223_215542_Facebook.jpg
 
Mafwele tu kawaweka wenzao lockup na anajitamba kabisa kwamba hawana maisha, lakini wameshindwa kufanya chochote
 
Kupata vichekesho vingine kama hivi nibonyeze namba ngapi, mkuu 😂😂😂
 
Raia wa marekani ukamchukue kama kuku eti? Basi kilichotokea kwa maduro kitatokea kwa huyo mama yenu.
 
Back
Top Bottom