mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
- Thread starter
- #21
Itachochea uzalendo kwa vizazi vijavyo na viliopoHii itakuwa na tija gani kwa taifa?
Itachochea uzalendo kwa vizazi vijavyo na viliopoHii itakuwa na tija gani kwa taifa?
Uchumi uko imara na ukizingatia nguvu ya buku kwa awamu hii ya tano buku za note zimechoka sana fanya utafiti utajuaKubadili buku kuwa sarafu inamaana uchumi umeshuka
Samatta tutampa mtaaSa si bora waweke picha ya samata aliyewafunga mabeberu
Kwamba ashike nafasi ya Nyerere!!, ok, sijui wakati unaandika unawaza nini!Huu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
Labda ile yenye mkungu wa ndiziUchumi uko imara na ukizingatia nguvu ya buku kwa awamu hii ya tano buku za note zimechoka sana fanya utafiti utajua
Sasa JPM abadili iwe sarafu yenye picha yake hizi habari za kila ela kuweka wanyama sisi sio wamang'ati
Mtaa haitoshi kuonesha heshima ya mtu ambaye anaitangaza tanzania. Maana hata Manyaunyau naye amepewa mtaa wenye jina lake japokua anaskendo za utapeliSamatta tutampa mtaa
Nonesense. Fanya kazi utoe jasho upate kipato halaliHuu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
Rubbish.Vuvuzera la LumumbaHuu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
Hadi hurumaHuu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
siyo msemaji ila hilo ni jambo la kipuuzi kuwa za ilhali kuna mambo mengi ya msingi kufanyikaWewe ndio msemaji wake
Bado mnamuota CAG tu? Kweli aliwashika pabaya sasa ofisi kawaachia kiroho safi muhomole mnavyotaka siku yaja na haiko mbali mtazitapika.Hakuna kisichowezekana CAG mlisema haiwezekani ikawezekana
Hawezi kupokea ushauri wa kipumbavu kamwe,msimchukulie poa kwa vile mnapigia mapambio ya kumsifu ndiyo awasikilize watu msio jitambua. Anawachora tu anajua mnatafuta kuteuliwa.Mkuu we hujui nguvu ya awamu ya tano
Hata Mwinyi kakiri hawakufanya kitu
Sasa subiri tumshauri JPM then uone
Nyie kabila yenu ni wakuda.Uchumi uko imara na ukizingatia nguvu ya buku kwa awamu hii ya tano buku za note zimechoka sana fanya utafiti utajua
Sasa JPM abadili iwe sarafu yenye picha yake hizi habari za kila ela kuweka wanyama sisi sio wamang'ati
Kubadili buku kuwa sarafu inamaana uchumi umeshuka
Ngoja sarafu itoke kama hutatumiaRubbish.Vuvuzera la Lumumba
Kiteuliwa kwenda wapi au kufanya niniHawezi kupokea ushauri wa kipumbavu kamwe,msimchukulie poa kwa vile mnapigia mapambio ya kumsifu ndiyo awasikilize watu msio jitambua. Anawachora tu anajua mnatafuta kuteuliwa.