mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Huu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha