Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Kama nchi inataka kuondokana na umaskini ni vizuri yakafanyika maamuzi ya kibingwa ni pamoja na kujenga smelter ya silicon wafer na PCB fabrication kwa sababu zifuatazo
Faid za kuwa na smelter ya silicon wafer na PCB fabrication
- Vifaa vyote vya electronics vina PCB kama ubongo
- Na pia silicon wafer zinatumika kwenye vifaa vya electronics kuprocess data na mara nyingi chipsets inawekwa juu ya PCB
Faid za kuwa na smelter ya silicon wafer na PCB fabrication
- Itavutia viwanda vya electronics Tanzania kama TV, simu, computer n.k
- Silicon wafer itauzwa kwa makampuni ya nje ya nchi yanayohitaji
- PCB fabricated itauzwa nje ya nchi kwa wale ambao wanafanya PCB assembly
- Serikali itapata mapato yasiyopungua usd dollar billion 3 mapato ya waziwazi a hili yale ya Multiplier