Ni vitu gani hivi?

Hapo ni wanakukumbusha ukae kiume....si unakuwa mlainimlaini kama mademu wa insta.

Na ukitukana nawaambia kesho waweke nyoka alovaa shanga........mwanaume unakuaje na mikono ya hivyo?
ww ni mbeba zege or umekulima maisha ya shamba, ila kwa watoto wa kishua/maisha ya kati mikono ya hvyo ni ya kawaida
 
Mbona mimi wa kishua ila sina mikono ya hivyo!?
me siyo wa kishua ila mikono yangu inafanana kidogo na hyo pamoja na kufanya kazi ngumu, sa vp kwa jamaa ikiwa kazi yake ngumu n kifinyanga tonge la ugali unazan atakuwa na mikono ya namna gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…