N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,992
- 12,036
Jamaa yangu kazini leo kaanzisha ligi ati mwanamke haridhiki kabisa hata umfanyieje kwa sababu ameumbiwa tamaa kama baadhi ya vitabu vya dini vinavyosema.
Sasa sijui kama ni kweli, lakini ninachokiamini mwanamke wa kweli ni mvumilivu though sina uhakika na hilo la kuridhika.
Sasa sijui kama ni kweli, lakini ninachokiamini mwanamke wa kweli ni mvumilivu though sina uhakika na hilo la kuridhika.