Tunaweza kulalamika hapa bila kujua pengine wao ndio walioonekana bora kuliko wengine,
pengine wao ndio pekee walioomba.
Lakini kikubwa kuliko yote ni kuwa hii ni biashara, kufunga makamera na mitambo ya kurusha live matangazo ni gharama sana kwahiyo wao wanaangalia pia biashara yao