Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
Salama wakuu?...Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwaza na kuwazua na kujiuliza maswali kibao juu ya vigezo vilivyoipa Star TV mkataba wa kuonesha moja kwa moja michezo ya VPL....Pamoja na kushinda zabuni hiyo Star TV wameshindwa kuoneshwa michezo ya VP iliyochezwa nje ya jiji la Mwanza kwa madai kwamba gari lao la kurushia matangazo haliwezi kusafiri umbali mrefu(kwamba linaenda mwendo wa 20km/h)....Hii ina maana kwamba hawataonesha mechi zinazochezwa nje ya Mwanza,kwamba mechi za Morogoro,Dodoma n.k hazitaoneshwa kwa sababu ya hilo gari la matangazo...
Ina maana TFF(ama waliopewa jukumu la kupitia zabuni) hawakuliona hili wakati wakipitia zabuni hizi?,ni bora wangepewa TBC ama ITV kuliko hawa wababaishaji wa Star TV......
Ina maana TFF(ama waliopewa jukumu la kupitia zabuni) hawakuliona hili wakati wakipitia zabuni hizi?,ni bora wangepewa TBC ama ITV kuliko hawa wababaishaji wa Star TV......