Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

Carrick Hana uwezo wa kufungua low block Hadi sasa, inabidi arudi darasani akajipange upya, kumtegemea mchezaji kama Bruno aamke vizuri ndio atoe assist ya krosi sio nzuri kabisa...Hata Sub zake Leo kama anabahatisha tu, sijajua kama kajipanga na ligi au anajaribu wachezaji na mbinu, huu msimu ndio itaonesha kama alibahatisha au laah.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom