Kipindi kipi wastaafu walitekesa kufuatilia mafao yao?Tatizo hili la mifuko ya pesheni halijaanza wakati wa Jpm,lilianzia kwa Mkapa walichukua wakajenga chuo cha Dodoma, Wakati wa Kikwete wakajenga daraja la Kigamboni,na Mradi wa kujenga nji mpya wa Kigamboni.Magufuruli kakuta mifuko ilisha filisika kitambo,sema kwasababu mlikuwa ampendi ndio maana mnamuangushia jumba bovu.
Kuanza Kikwete malipo ya pesheni yalikuwa shida,kuna kipindi mpaka wazee walipigwa mpaka virungu na maji ya pilipili,au wewe ulikuwa haujaja Dar-as-salaam?Kipindi kipi wastaafu walitekesa kufuatilia mafao yao?
Magufuli ndo Amelipa mafao gani wakati mwaka wa 4 huu tunasotaKuanza Kikwete malipo ya pesheni yalikuwa shida,kuna kipindi mpaka wazee walipigwa mpaka virungu na maji ya pilipili,au wewe ulikuwa haujaja Dar-as-salaam?
Muongo . Udom imejengwa na kikweteTatizo hili la mifuko ya pesheni halijaanza wakati wa Jpm,lilianzia kwa Mkapa walichukua wakajenga chuo cha Dodoma, Wakati wa Kikwete wakajenga daraja la Kigamboni,na Mradi wa kujenga nji mpya wa Kigamboni.Magufuruli kakuta mifuko ilisha filisika kitambo,sema kwasababu mlikuwa ampendi ndio maana mnamuangushia jumba bovu.
Jamaa alikuwa tapeli sanaBaada ya kuiba pesa za wanachama wakaja na mpango wa kuiunganisha hii mifuko, kufukuza watu Kazi Ili kuwazulumu michango yao,fao la kujitoa ukae miaka 50 ndo upewe chako uliona wapi hii duniani hii utadhani una garantii na Muumba hii ni dhuluma.Wezi wengine wakazawadia ubalozi Ili wakazitumbue zaidi badala ya kuwa jela.
Pesa amejengea reli ya kuwalisha wazee angetoa wapiUngelisema Magufuri alipora kiasi gani nalini,sio kuongea tu kutumia nimekwambi chanzo cha mifuko ya pesheni kuyumba toka enzi hizo za Mkapa, Alafu viongozi wa hiyo mifuko walikuwa wanajenga Majengo kwa garama kubwa,mpaka leo yamekosa wanunuzi,tenda mtoni kijichi,bunju,mabwe pande, Majengo yao yote yamekosa wanunuzi, kwasababu ya garama kubwa, Mifuko hii imefirisika kwasababu viongozi wao hawakuwa na maono na ufisadi, ndipo maana Magufuri alikwisha washauli kuwa bora wawekeze kwenye secta ya Viwanda kuliko kukimbilia kwenye kujenga majumba.
Wewe umezaliwa juzi tu,uliza history Udom ilianza kujengwa mwaka gani! ndio uje hapa kwenye jamvi.Muongo . Udom imejengwa na kikwete
Ni swala la kikokotooTatizo hili la mifuko ya pesheni halijaanza wakati wa Jpm,lilianzia kwa Mkapa walichukua wakajenga chuo cha Dodoma, Wakati wa Kikwete wakajenga daraja la Kigamboni,na Mradi wa kujenga nji mpya wa Kigamboni.Magufuruli kakuta mifuko ilisha filisika kitambo,sema kwasababu mlikuwa ampendi ndio maana mnamuangushia jumba bovu.
Ungelisema Magufuri alipora kiasi gani nalini,sio kuongea tu kutumia nimekwambi chanzo cha mifuko ya pesheni kuyumba toka enzi hizo za Mkapa, Alafu viongozi wa hiyo mifuko walikuwa wanajenga Majengo kwa garama kubwa,mpaka leo yamekosa wanunuzi,tenda mtoni kijichi,bunju,mabwe pande, Majengo yao yote yamekosa wanunuzi, kwasababu ya garama kubwa, Mifuko hii imefirisika kwasababu viongozi wao hawakuwa na maono na ufisadi, ndipo maana Magufuri alikwisha washauli kuwa bora wawekeze kwenye secta ya Viwanda kuliko kukimbilia kwenye kujenga majumba.