seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,652
Hili ni swali baada ya uchumi wetu kuporomoka mpaka kufika asilimia 4.8%.Wakati huo takwimu zilifichwa na kutungiwa sheria kali sana. Television ya Taifa ( TBC) iliongoza mapambio ya kusifu kwa Ngonjera, ngoma na vinanda kuwa mambo ni mazuri
Wazee wastaafu wanafuatilia mafao yao huko NSSF na PSSF zaidi ya miaka miwili bila mafanikio, Omba sana hali ya Uzee isikukute Jitahidi kurudisha umri nyuma usipende kusherekea mwaka mpya, labda sema na kuimba "Forever Young" yaani "ujana daima"
Mapambio na Ngonjera yaliaminisha ni pesa za ndani kumbe ni pesa za wastaafu na wazee na mingine ni mikopo isiyokuwa na kichwa wala miguu ambayo takwimu zake zilifichwa huku TBC Taifa ikiimba wimbo wa beberu mbaya mchana mbele ya Raia, Gizani waliimba beberu tusaidie tutakulipa taratibu
Je, kukwapua pesa za NSSF na PSSF ndio utajiri wenyewe?
Je, kukopa kwa siri ndio utajiri wenyewe?
Poleni sana wastaafu na ambao mnakaribia kustaafu karibuni hakika maisha yenu yanasikitisha sana
Kwa wale wenye wazee ambao wanafuatilia pension miaka Nenda rudi jiandaeni kisaikolojia hakuna "Forever Young" Kuna muda mwili utakataa tu kufanya kazi
Nasikia kuna ahadi ya malipo na watu kuanza kulipwa wataanza wa mwisho kustaafu au wataanza wa mwanzo.
Je, itatumika nyuma geuka yaani wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho?
Wazee wastaafu wanafuatilia mafao yao huko NSSF na PSSF zaidi ya miaka miwili bila mafanikio, Omba sana hali ya Uzee isikukute Jitahidi kurudisha umri nyuma usipende kusherekea mwaka mpya, labda sema na kuimba "Forever Young" yaani "ujana daima"
Mapambio na Ngonjera yaliaminisha ni pesa za ndani kumbe ni pesa za wastaafu na wazee na mingine ni mikopo isiyokuwa na kichwa wala miguu ambayo takwimu zake zilifichwa huku TBC Taifa ikiimba wimbo wa beberu mbaya mchana mbele ya Raia, Gizani waliimba beberu tusaidie tutakulipa taratibu
Je, kukwapua pesa za NSSF na PSSF ndio utajiri wenyewe?
Je, kukopa kwa siri ndio utajiri wenyewe?
Poleni sana wastaafu na ambao mnakaribia kustaafu karibuni hakika maisha yenu yanasikitisha sana
Kwa wale wenye wazee ambao wanafuatilia pension miaka Nenda rudi jiandaeni kisaikolojia hakuna "Forever Young" Kuna muda mwili utakataa tu kufanya kazi
Nasikia kuna ahadi ya malipo na watu kuanza kulipwa wataanza wa mwisho kustaafu au wataanza wa mwanzo.
Je, itatumika nyuma geuka yaani wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho?