Ni ushujaa wa hali ya juu kiongozi kuwalinda wasaidizi wake pole sana Lowassa

WAZIWAZI

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
1,815
1,575
Ndugu wanajanvi nampa pole zangu ndugu yangu Lowassa kwa ajali ya kisiasa iliyomkuta na kutengenezewa zengwe la Richmond jambo lililobabisha ajiuzuru uwaziri mkuu wakati badae watu walewale walioshadadia kung'oka kwa nguli huyu wa siasa wakairudia jamii na kuiambia yaliyomkuta lowassa yalikuwa ni mambo ya kupika tu na hayakuwa na ukweli wowote na hata list of shame waliyoisoma pale mwembe yanga pia yalikuwa ni majungu kuihadaa jamii ili imchukie lowassa.

Tukijikumbusha siku za karibuni kuna kikundi chenye mienendo ilele iliyofikia lowassa kuchafuliwa nchi nzima sasa kinamuandama Makonda usiku na mchana kwa sababu zisizo na mizizi mpya ikidaiwa yeye kuiteka media ya Clouds, kwa watu wenye akili ya kawaida na wasio mashabiki kindakindaki wa upande wowote wanaweza kujiuliza hivi hao wanaodai kutekwa wanajua maana ya kutekwa tena kwa mtutu wa bunduki ingekuwa ni kweli wale maaskari wamepania kushinikiza habari itangazwe waandishi wa clouds wangegoma!! ? tafakari, pili tunajua kwa sasa kama Rais asipompa makonda ulinzi mkubwa kiasi kile kufuatia vita aliyoianza na wahalifu wa dunia genge la wauza madawa ya kulevya basi maisha yake yatakuwa hatarini ndo maana alionekana kwenye kamera akiwa na walinzi na walinzi hawakuonekana kumsumbua mtu yeyote zaidi ya kuhakikisha uasala wa kiongozi wao ambayo ndo kazi yao kubwa waliyopewa na sidhani kama mkuu wa mkoa kuingia sehemu yeyote na ulinzi ni kosa bila kumuumiza au kumbughudhi yeyote.

Nimeyasema haya kuwakumbusha tu kwamba endapo Lowassa angekuwa waziri mkuu enzi hizi za Magufuli na kukumbwa na kashifa za kupika kama yaliyomkuta, Rais Angemlinda na kumkatalia kujiudhuru na hii ndio sifa mojawapo kubwa ya kiongozi kwa wasaidizi wake na niwambie ndugu zangu makonda saga ni vilevile kama Lowassa saga enzi hizo.

Asubuhi njema.
 
Ndugu wanajanvi nampa pole zangu ndugu yangu Lowassa kwa ajali ya kisiasa iliyomkuta na kutengenezewa zengwe la Richmond jambo lililobabisha ajiuzuru uwaziri mkuu wakati badae watu walewale walioshadadia kung'oka kwa nguli huyu wa siasa wakairudia jamii na kuiambia yaliyomkuta lowassa yalikuwa ni mambo ya kupika tu na hayakuwa na ukweli wowote na hata list of shame waliyoisoma pale mwembe yanga pia yalikuwa ni majungu kuihadaa jamii ili imchukie lowassa.

Tukijikumbusha siku za karibuni kuna kikundi chenye mienendo ilele iliyofikia lowassa kuchafuliwa nchi nzima sasa kinamuandama Makonda usiku na mchana kwa sababu zisizo na mizizi mpya ikidaiwa yeye kuiteka media ya Clouds, kwa watu wenye akili ya kawaida na wasio mashabiki kindakindaki wa upande wowote wanaweza kujiuliza hivi hao wanaodai kutekwa wanajua maana ya kutekwa tena kwa mtutu wa bunduki ingekuwa ni kweli wale maaskari wamepania kushinikiza habari itangazwe waandishi wa clouds wangegoma!! ? tafakari, pili tunajua kwa sasa kama Rais asipompa makonda ulinzi mkubwa kiasi kile kufuatia vita aliyoianza na wahalifu wa dunia genge la wauza madawa ya kulevya basi maisha yake yatakuwa hatarini ndo maana alionekana kwenye kamera akiwa na walinzi na walinzi hawakuonekana kumsumbua mtu yeyote zaidi ya kuhakikisha uasala wa kiongozi wao ambayo ndo kazi yao kubwa waliyopewa na sidhani kama mkuu wa mkoa kuingia sehemu yeyote na ulinzi ni kosa bila kumuumiza au kumbughudhi yeyote.

Nimeyasema haya kuwakumbusha tu kwamba endapo Lowassa angekuwa waziri mkuu enzi hizi za Magufuli na kukumbwa na kashifa za kupika kama yaliyomkuta, Rais Angemlinda na kumkatalia kujiudhuru na hii ndio sifa mojawapo kubwa ya kiongozi kwa wasaidizi wake na niwambie ndugu zangu makonda saga ni vilevile kama Lowassa saga enzi hizo.

Asubuhi njema.

Kwa taarifa yako, huyo JPM anayesema alichukua fomu mwenyewe, kiukweli alichukuliwa fomu tena na kushawishiwa sana kugombea urais na mheshimiwa Kitwanga ambaye hakumlinda, na akamtumbua kwa kejeli kubwa, na sijui huo ushujaa unaousema uko wapi?

Unamzungumzia mtu ambaye mtoto wake aliyekuwa anasoma Oysterbay Secondary alirudishwa nyumbani kwa sababu anaumwa, na yeye akadai mtoto aache kudeka arudi shuleni na ndipo mtoto akazidiwa na kufariki, sijui huo ushujaa wako unatokea wapi?

Unazungumzia mtu ambaye amesaidiwa katika kampeni na Mheshimiwa Nape Nnauye kwa asilimia zaidi ya 90% hadi akashinda urais lakini leo hii amempiga chini, sijui huo ushujaa uko wapi?

Utanipotezea muda bure, hujitambui!
 
Yani huyu
Screenshot_2017-03-23-07-08-27.png
 
Ndugu wanajanvi nampa pole zangu ndugu yangu Lowassa kwa ajali ya kisiasa iliyomkuta na kutengenezewa zengwe la Richmond jambo lililobabisha ajiuzuru uwaziri mkuu wakati badae watu walewale walioshadadia kung'oka kwa nguli huyu wa siasa wakairudia jamii na kuiambia yaliyomkuta lowassa yalikuwa ni mambo ya kupika tu na hayakuwa na ukweli wowote na hata list of shame waliyoisoma pale mwembe yanga pia yalikuwa ni majungu kuihadaa jamii ili imchukie lowassa.

Tukijikumbusha siku za karibuni kuna kikundi chenye mienendo ilele iliyofikia lowassa kuchafuliwa nchi nzima sasa kinamuandama Makonda usiku na mchana kwa sababu zisizo na mizizi mpya ikidaiwa yeye kuiteka media ya Clouds, kwa watu wenye akili ya kawaida na wasio mashabiki kindakindaki wa upande wowote wanaweza kujiuliza hivi hao wanaodai kutekwa wanajua maana ya kutekwa tena kwa mtutu wa bunduki ingekuwa ni kweli wale maaskari wamepania kushinikiza habari itangazwe waandishi wa clouds wangegoma!! ? tafakari, pili tunajua kwa sasa kama Rais asipompa makonda ulinzi mkubwa kiasi kile kufuatia vita aliyoianza na wahalifu wa dunia genge la wauza madawa ya kulevya basi maisha yake yatakuwa hatarini ndo maana alionekana kwenye kamera akiwa na walinzi na walinzi hawakuonekana kumsumbua mtu yeyote zaidi ya kuhakikisha uasala wa kiongozi wao ambayo ndo kazi yao kubwa waliyopewa na sidhani kama mkuu wa mkoa kuingia sehemu yeyote na ulinzi ni kosa bila kumuumiza au kumbughudhi yeyote.

Nimeyasema haya kuwakumbusha tu kwamba endapo Lowassa angekuwa waziri mkuu enzi hizi za Magufuli na kukumbwa na kashifa za kupika kama yaliyomkuta, Rais Angemlinda na kumkatalia kujiudhuru na hii ndio sifa mojawapo kubwa ya kiongozi kwa wasaidizi wake na niwambie ndugu zangu makonda saga ni vilevile kama Lowassa saga enzi hizo.

Asubuhi njema.

Umempikia mtoto wako uji?
 
Kwa taarifa yako, huyo JPM anayesema alichukua fomu mwenyewe, kiukweli alichukuliwa fomu tena na kushawishiwa sana kugombea urais na mheshimiwa Kitwanga ambaye hakumlinda, na akamtumbua kwa kejeli kubwa, na sijui huo ushujaa unaousema uko wapi?

Unamzungumzia mtu ambaye mtoto wake aliyekuwa anasoma Oysterbay Secondary alirudishwa nyumbani kwa sababu anaumwa, na yeye akadai mtoto aache kudeka arudi shuleni na ndipo mtoto akazidiwa na kufariki, sijui huo ushujaa wako unatokea wapi?

Unazungumzia mtu ambaye amesaidiwa katika kampeni na Mheshimiwa Nape Nnauye kwa asilimia zaidi ya 90% hadi akashinda urais lakini leo hii amempiga chini, sijui huo ushujaa uko wapi?

Utanipotezea muda bure, hujitambui!
haya uliyoyaongea hapa ndo ushujaa wenyewe. nielewavyo mimi ushujaa ni uwezo wa kufanya maamuzi magumu.

NB: simuungi mkono sizonje.
 
Back
Top Bottom