Ni ushamba au ujinga? Naombeni kujua

Ni ushamba au ujinga? Naombeni kujua

Eldorah2013

Senior Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
119
Reaction score
61
Heri ya mwaka mpya wanajamvi! Ni mara ya kwanza najitokeza kwenu nikiwa na shida ya kutaka kujua hili: nilikuwa na mchumba/mpenzi 2liyeishi nae muda mrefu 2kiwa na malengo likiwemo la kuish pamoja, ila kilichokuwa kikinishangaza ni pale ilipokuwa inatokea utofauti kidogo kati yetu basi inakuwa tangazo kwa kila aliye na uwezo wa kumskiliza yaan anaongea kupita kiasi ata siri zisizofaa kusimlia anatoa kwa jirani, ndugu, jamaa, marafiki kubwa zaidi adi mama yake mzazi anamsimlia ata ambavyo havifai, mwanzoni nlimwambia sipendi tabia yake akasema amejirekebisha akapunguza ila sio sana, yeye akijiskia tu anaanzisha topic juu ya uhusiano wetu iwe 2navyoish, 2navyokosana, 2navyofanya mapenzi, 2navyolala,na vingne vingi. Tabia ile iliendelea kunikera adi nkajikuta namchukia sku adi sku ata ndoto ya kuish nae ikafutika ingawa yeye alikuwa amefikia hatua ya kutaka kwenda hom me nkawa namwambia avute kdogo coz wazaz hawatanielewa ukizingatia ndo namaliza ivi chuo ata kazi cjapata, kumbe me jibu nlompa akalianzishia topic kwao nikawa wa kujadiliwa wakamshauri me sifai, naye akafuata ushauri wa wazazi wake akaniambia nami nikaridhika na uamzi alochukua nikajiweka pembeni ata simu sipigi wala sibp, sasa nashangaa anavyonitangazia kwa marafiki mengi ya uzushi ambayo skuwai ata kuyaskia mara amenigharamia sana,mara cjui kunisomesha wakati huo ata nkiesabu ela alonipa ya kawaida tu km wapenz haiezi fika ata laki2 na nashukuru pia sina tamaa ya pesa ya m2 cha mhim ni mapenzi, kwa upande wangu amekuwa akiniandikia msg za vitisho mara nitamjua ye ni nani na hakuna ata 2lichokosana zaidi ya yeye kuskiliza ushauri wa wazaz na ndugu zake nami kujieka pembeni. Naombeni msaada wenu hapo
 
Huyo siyo mshamba wala mjinga ila ni --------,maana ushamba na ujinga vinaisha ukielimishwa,pole sana..
 
Huyo asikusumbue kichwa kwanza anaonekana bado mvulana na si mwanaume.so endelea kumchuniaa usimjibu matext yake .ikibidi hifadhi vitisho vyake ! Hakufai hata kwa kulumaghiha! Endelea na mambo yako!!
 
Chuo gani kimekupika hadi unatafuta kazi sasa? Kuandika huwezi, hakuna cha aya wala nukta. Ni kutiririka mwanzo mwisho, haieleweki unataka kusema nini. Posti imejaa koma tupu. Vijana badilikeni kifikra angalau ionekane umesoma kidogo na kuna kitu umejifunza kitaaluma. Kwa hali unaweza kuandika barua ya maombi ya kazi na kuandaa CV inayoeleweka kweli?
 
.mwanafunzi wa chuo kuweka aya huwezi, Jesus Ndio mapenzi waweza Kweli....?
 
Khaa!
Usihofu mamaa!
Mashaxizo kakutana na kisanga kama cha kwako!
So, kuja piemo tujadili kwa undani beibe!
Natoa maraha ata peponi hakuna!
 
Vitisho gani anatoa???mtu mwenyewe miaka 2 uliyokuwa nae hata laki 2 haijafika.Mtu hana hela halafu unakubali akupelekepeleke
 
Chuo gani kimekupika hadi unatafuta kazi sasa? Kuandika huwezi, hakuna cha aya wala nukta. Ni kutiririka mwanzo mwisho, haieleweki unataka kusema nini. Posti imejaa koma tupu. Vijana badilikeni kifikra angalau ionekane umesoma kidogo na kuna kitu umejifunza kitaaluma. Kwa hali unaweza kuandika barua ya maombi ya kazi na kuandaa CV inayoeleweka kweli?

cha muhimu ujumbe umefika best ata kaz nshapata cha kushangaza nimetoka chuo kizuri tu apa nchini
 
Vitisho gani anatoa???mtu mwenyewe miaka 2 uliyokuwa nae hata laki 2 haijafika.Mtu hana hela halafu unakubali akupelekepeleke

vitisho vya kijinga ambavyo ukiviangalia avina ata logic kulingana na situation me niko 2 kimya cjawai mjibu
 
Huyo asikusumbue kichwa kwanza anaonekana bado mvulana na si mwanaume.so endelea kumchuniaa usimjibu matext yake .ikibidi hifadhi vitisho vyake ! Hakufai hata kwa kulumaghiha! Endelea na mambo yako!!

nashukuru kwa ushauri wako
 
kweli pesa sabuni ya roho!

hahahahaaaa kwangu pesa ata c tatizo naridhika kwa hali yoyote ili mradi 2meshbana ya nini kumfanya kijana wa watu atm machine hali familia za kitanzania nyingi zinafahamika maisha yake
 
Huyo asikusumbue kichwa kwanza anaonekana bado mvulana na si mwanaume.so endelea kumchuniaa usimjibu matext yake .ikibidi hifadhi vitisho vyake ! Hakufai hata kwa kulumaghiha! Endelea na mambo yako!!

Mhhh...tunapata shida wavulana jaman!!
 
cha muhimu ujumbe umefika best ata kaz nshapata cha kushangaza nimetoka chuo kizuri tu apa nchini

Kwani huko chuon somo la CL halikuwepo kuhusu note taking and note making? hamkujifunza matumizi ya alama na paragraph kwa lengo la kuondoa boredom kwa msomaji?

Had it bn is legal language inakubalika kuwa na one paragraph with long and complex sentence. Sasa wewe kisa ni jf ndio unajiandikia tu huoni wenzio ambavyo huwa wanaandika?

Bt yet unatuambia umetoka chuo kizuri, basi kama chuo kizuri wewe hukuwa mwanafunzi mzuri. Kupata kaz does not justfy kuwa u were a good student mbona vilaza wengi tu wanapata kaz na wamedesa kama kawa.

Anyway pole kwa yaliyokukuta!!!.....it happens!
 
.mwanafunzi wa chuo kuweka aya huwezi, Jesus Ndio mapenzi waweza Kweli....?

Kazi ipo vyuo vya siku hizi kama ''hata'' inakua ''ata'' ''hela'' inakua. ''ela''.
Sina nia ya kukubeza ila angalau basi habari yako iendane na madai kwamba umesoma.Unajua jinsi unavyowasilisha hoja yako ndivyo inaonesha upo makini kiasi gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom