my dota...mama yangu...duh
Kibongobongo jambazi lazima awe na sura ngumu anyoe kipara mtu wa fegi mitungi ,yaani bado tuko nyuma sana 😁Jambazi kuvaa mamiwani meusi,koti kubwa na kicheko cha aina moja kwa majambazi wote.
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Kuna movie moja nyoka anatembea kama garimoshiWatanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika tathnia ya filamu za kitanzania (maigizo), walibaki wakina mama kuwa watazamaji na mashabiki wao! Lakini kwa sasa na wao wamehamia kwenye series za kikorea!
Huwezi amini kuwa makosa kwenye tathnia hii yalikuwepo hata kipindi cha uigizaji wa Steven Kanumba! Japo kwa asilimia ndogo sana!
Twende kwenye kiini
Tufahamishe uongo wowote uliokutana nao kwenye bongo movie ambao ulikukata stimu za kuendelea kuzifuatilia!
Kwa kuanzia, mtu kuflash back na kukumbuka matukio yaliyofanyika ambapo yeye hakuwepo! Mtu anakumbuka, halafu kwenye tukio hayupo!
Hivi wanatuchukuliajeeJambazi kavamia nyumba ya mtu afu kuvua viatu View attachment 2211756
we jamaa ni faller sana.... ha ha ha ha ha ha ha haKuvua samaki waliokufa afu wavuvi wanabishana wangu ni mkubwa kuliko wako. Ndani ya bongo muvi iyo
Hi nayo ni bongo movie au?
Huo nao ni uongo japo bongo movieHi nayo ni bongo movie au?
Sometimes cameraman naye ankimbia na camera yakeMimi ukiachana na maswala ya uongo ..nitazunguzumzia maswala ya makosa ya kiufundi kama editing n.k.
Kwa mfano cinematographic technique bado sana ...kumbuka hata mjongeo wa kamera katika kurekodi tukio huvuta hisia kwa mtazamaji.
Unakuta tukio labda la kukimbia ni kamera moja peke yake inatumika..hivyo kukosa baadhi ya angle kwenye scene.
Kwenye editing pia unakuta boom mic inaonekana. na mambo mengi kibao tu
Alihitimu akawaacha wenzieKuna hiyo bongo movie niliangalia sikumbuki inaitwaje
Kulikua na huyo mwanafunzi anasoma shule mazingira magumu wanafunzi wenzake wanamcheka sasa wakaonesha baada ya miaka kumi yule mwanafunzi amefanikiwa ana majumba magari akarudi shule aliyosoma kuwapa ushuhuda wanafunzi ila cha ajabu wanafunzi wenyewe ndo wale wale waliokua wanamcheka zamani
We unamtania mama wa kambo ehhhhh 😂😂Kuvua samaki waliokufa afu wavuvi wanabishana wangu ni mkubwa kuliko wako. Ndani ya bongo muvi iyo
Bongo movie uchwaraAlihitimu akawaacha wenzie