Ni ukweli usiopingika

Ni ukweli usiopingika

kichomiz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
20,256
Reaction score
13,263
FB_IMG_1494441969349.jpg
 
Hivi uchumi kukaa vibaya sio sehemu ya matatizo? Ni vyema akaweka makundi ya hayo matatizo na orodha ya matatizo yenyewe. Maanake hayo matatizo yasijekuwa ndani ya mind yake tu.
 
Hivi uchumi kukaa vibaya sio sehemu ya matatizo? Ni vyema akaweka makundi ya hayo matatizo na orodha ya matatizo yenyewe. Maanake hayo matatizo yasijekuwa ndani ya mind yake tu.
Nadhani ameunganisha vyote
 
Matatizo ni yapi sasa? Je, hasiyeridhika na mmoja sio ndio mwenye matatizo?
Matatizo ya kusimamisha na kusimamia show kisawasawa,au matatizo ya nguvu za kiume alimaanisha
 
Namkubali jamaa huwa hana tabia ya kuumua uma maneno ni mkweli

Alimuuliza bosi wake swali gumu kipindi bashite kavamia pale clouds
 
Namkubali jamaa huwa hana tabia ya kuumua uma maneno ni mkweli

Alimuuliza bosi wake swali gumu kipindi bashite kavamia pale clouds
Ni kweli jamaa huwa anasimamia anachoamini
 
basi haya maneno wanaume muwe mnaambiana wenyewe tuu si kuyaweka public bhana..nasisi tuna yetu mjue
 
Huo ni mwanzo wa kupata magonjwaa yasiotibikaaa
 
Siyo kweli

Siyo kila mtu anaishi akiwazia ngono kwa wanawake tofauti
 
Hivi uchumi kukaa vibaya sio sehemu ya matatizo? Ni vyema akaweka makundi ya hayo matatizo na orodha ya matatizo yenyewe. Maanake hayo matatizo yasijekuwa ndani ya mind yake tu.
Yaani hapo anamaanisha matatizo ya kimwili mkuu kama vile wale wa goli moja wanamaliza mwezi kurudia tendo so watu wa hivi ndio alimaanisha.

Ndio maana akasema labda awe na matatizo au uchumi kuwa mbaya.
 
Si kweli... Hakuna kanuni kwenye mambo ya jinsia wala mahusiano, kila mmoja yupo peculiar, ni coincidence tu kukuta asilimia flani wanafanana lifestyle flani, lakini hiyo sio general conclusion kwa wote.
 
Back
Top Bottom