macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,804
- 39,620
Nyie mlimdanganya mwendazake kwa mapambio yenu mpaka mkampa na kombe eti la ''kushinda corona'' mkampoza akajiamini akidhani haitampata. Ona alivyoishia mwisho mbaya tena kwa corona hiyo hiyo ilivyofanya zake. Unadahni virus wa corona na ukimwi ni sawa? Someni basi ili angalau mkiandika ime-make sense.Kwa nini tusifast track majaribio ya chanjo ya ukimwi pale Muhimbili?