Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,372
- 6,509
Daaaàah mimi wakiniuliza nikwambie kitu naona huo n mtego
Aaa demu mwenyewe jirani yangu mazoea yamezidi sema me domozege ivi ata sjawah sijuw ananionea kwamba siwez?Mtongoze kwanza.. Akikubali ndo utume
Sahihi kabisa mkuu.Siyo tatizo [HASHTAG]#Nokia83[/HASHTAG] ni kwamba hujapedwaa mwanamke anyeomba pesa mnoo huyo hajakupendaa!!!!
Km uamini ktk umri wako najua ushawahi kuwa kwenye mahusiano either mmoja wawili au nakuendlea na katika hao wapo waliokupenda kwa dhati wapo waliokutamani/au walitamani kitu Fulani kutoka kwako
.......lzm watakuwa na utaofauti kati ya aliye kupenda na aliyetamani kitu Fulani kutoka kwakooo, matendo yaooo ndiyo yatafanya uamini na km bdo hujaanza mambo ya kikubwaa ukija kuanzaa utajua chunguza kwa makini
Mubashara.ina tv ndani
Jiandae kwa povu, wameshaanzisha uzi humu WANAUME SURUALI kuelekea sikukuu!Kwa hali ya sasa ni uboya wa kiwango cha kimataifa kutuma tuma hela ovyo Kwa mwanamke ambae hata hujawahi kumla, Demu unamtumia hela anaenda kugongwa na wengine ukigundua unajipa presha Tu
Siku hizi ni give to me I give to u masuala ya kuhonga honga ni uboya kabisa
Bora uitwe mwanaume suruali kwani shida iko wapi wanaume mavazi yetu ni suruali.
Kuna wale mademu njaa ukiomba namba ya simu Tu ukamtafuta ataanza kukutangazia njaa hasa msimu huu wa sikukuu kana kwamba wee ni mzazi wake.
Bora hiyo pesa uwekeze Kwa familia au unywe bia kuliko kumpa demu asiewahi kukupa mzigo ni hasara mno. Najua wale mademu wapenda dezo watakuja na mapovu hapa kujitetea
Sio Kwa usawa huu hakuna cha bure hapa.
Alete mzigo mwenyewe kwanza!Ni mwendo wa "njoo....nitakupa"
LoooohSiyo tatizo [HASHTAG]#Nokia83[/HASHTAG] ni kwamba hujapedwaa mwanamke anyeomba pesa mnoo huyo hajakupendaa!!!!
Km uamini ktk umri wako najua ushawahi kuwa kwenye mahusiano either mmoja wawili au nakuendlea na katika hao wapo waliokupenda kwa dhati wapo waliokutamani/au walitamani kitu Fulani kutoka kwako
.......lzm watakuwa na utaofauti kati ya aliye kupenda na aliyetamani kitu Fulani kutoka kwakooo, matendo yaooo ndiyo yatafanya uamini na km bdo hujaanza mambo ya kikubwaa ukija kuanzaa utajua chunguza kwa makini
Domo zege utawajua tu, bila hela hamna kitu!Kama wew huna hela wee kaa kimya... Mademu wazuri utaishia kwenda kuwapigia nyeto geto kwako....
Wee unataka demu ambae anahudumiwa na wengine kapendeza wew unamtaka kwa hela...
Dah.... Kuna watu walikuwa wanafanya B-Day party hadi 6 kwa mwaka.... Sasahivi wapoleeeeDah!
Haya yote yanatokana na magu kubana pesa
Acha bwanaSiyo tatizo [HASHTAG]#Nokia83[/HASHTAG] ni kwamba hujapedwaa mwanamke anyeomba pesa mnoo huyo hajakupendaa!!!!
Km uamini ktk umri wako najua ushawahi kuwa kwenye mahusiano either mmoja wawili au nakuendlea na katika hao wapo waliokupenda kwa dhati wapo waliokutamani/au walitamani kitu Fulani kutoka kwako
.......lzm watakuwa na utaofauti kati ya aliye kupenda na aliyetamani kitu Fulani kutoka kwakooo, matendo yaooo ndiyo yatafanya uamini na km bdo hujaanza mambo ya kikubwaa ukija kuanzaa utajua chunguza kwa makini
Maeneo yako ya kujidaiNashangaaaaaaa
Kwa hali ya sasa ni uboya wa kiwango cha kimataifa kutuma tuma hela ovyo Kwa mwanamke ambae hata hujawahi kumla, Demu unamtumia hela anaenda kugongwa na wengine ukigundua unajipa presha Tu
Siku hizi ni give to me I give to u masuala ya kuhonga honga ni uboya kabisa
Bora uitwe mwanaume suruali kwani shida iko wapi wanaume mavazi yetu ni suruali.
Kuna wale mademu njaa ukiomba namba ya simu Tu ukamtafuta ataanza kukutangazia njaa hasa msimu huu wa sikukuu kana kwamba wee ni mzazi wake.
Bora hiyo pesa uwekeze Kwa familia au unywe bia kuliko kumpa demu asiewahi kukupa mzigo ni hasara mno. Najua wale mademu wapenda dezo watakuja na mapovu hapa kujitetea
Sio Kwa usawa huu hakuna cha bure hapa.
Hapa nakuunga mkono kwa asilimia 100%Bora hiyo pesa uwekeze Kwa familia au unywe bia kuliko kumpa demu asiewahi kukupa mzigo ni hasara mno