NI UJANJA GANI UMETUMIKA HAPA

NI UJANJA GANI UMETUMIKA HAPA

dekitambi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
663
Reaction score
763
*BIBLIA INA VITABU 66,SASA CHUKUA 66 TOA UMRI WAKO KISHA JUMLISHA 50 ...UTAPATA MWAKA WAKO WA KUZALIWA....*

*#JINA LA BWANA LIPEWE SIFA*

Naombeni kueleweshwa kuhusu logic ilotumika hapo juu

NAWASILISHA
 
50 imetoka wapi? namba nyingi tu zaweza kukaa popote kama zitapata kijumlisho sahihi!



Anyway Biblia yangu ina vitabu 72!!!
Mkuu tumegee ubuyu kidogo inaonekana ushapata idea
Mimi bado sijaelewa
 
Mkuu tumegee ubuyu kidogo inaonekana ushapata idea
Mimi bado sijaelewa


Usijali kwa kila watanzania wanne ....


Hapo ni mchezo wa kujumlisha namba na kutafuta kijazio cha kutimiza lengo fulani.


Mfano mbona ukijumlisha 60 haitokei?

ni kwa sababu 60 pia inakijumlishio chake cha kufika namba kama ile kwa njia tofauti kidogo.

Ila Kanisa kubwa kama Catholics ingekuwa pia inatumia biblia ya vitabu 66, tungesema 'wengi wape'!
 
Najaribu kuwaza kuwa:
Tofauti kati ya mwaka 1900 na 2016 (Mwaka huu) ni 116. Probably Kizazi cha sasa kwa sehem kubwa kimo ndani ya umri huu (Miaka 116). Hii ndiyo 66 na 50. Hivyo basi, ukitoa umri wako (Mf: 20yrs ni 116 - 20 = 96). Habari za Biblia na vitabu 66 na hiyo 50 ni ubabaishaji. Nasema ni ubabaishaji maana ifikapo mwaka 2017 hii kanuni haitafanya kazi.
Ni mtazamo tu
 
Najaribu kuwaza kuwa:
Tofauti kati ya mwaka 1900 na 2016 (Mwaka huu) ni 116. Probably Kizazi cha sasa kwa sehem kubwa kimo ndani ya umri huu (Miaka 116). Hii ndiyo 66 na 50. Hivyo basi, ukitoa umri wako (Mf: 20yrs ni 116 - 20 = 96). Habari za Biblia na vitabu 66 na hiyo 50 ni ubabaishaji. Nasema ni ubabaishaji maana ifikapo mwaka 2017 hii kanuni haitafanya kazi.
Ni mtazamo tu
Mkuu umeua gemu
 
TABU TUPU inatufaidisha nini sisi wahanga wa tetemeko..?
 
Najaribu kuwaza kuwa:
Tofauti kati ya mwaka 1900 na 2016 (Mwaka huu) ni 116. Probably Kizazi cha sasa kwa sehem kubwa kimo ndani ya umri huu (Miaka 116). Hii ndiyo 66 na 50. Hivyo basi, ukitoa umri wako (Mf: 20yrs ni 116 - 20 = 96). Habari za Biblia na vitabu 66 na hiyo 50 ni ubabaishaji. Nasema ni ubabaishaji maana ifikapo mwaka 2017 hii kanuni haitafanya kazi.
Ni mtazamo tu
Kanuni zipo nyingi tu, ila hiyo ya biblia ndiyo ya kwanza kugundua huu mchezo ila hiyo 50 hawajatuambia imetokea wapi, ila hiyo ya kwako ipo makini zaid.... BG up masta..
 
wewe kwel bwege,,kuna sehemu umeingiza umri wako halafu unataka kujua maajabu gani hapo yaliyotumia...ume kujumlsha kisha unatoa
 
Back
Top Bottom