NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Nilikuwa najiuliza kila saiku kwa nini vijana wengi wakitoka tu chuo Mungu akiwajalia kazi wakikopa tu cha kwanza gari nilidhani ni ubishoo kumbe ni swala la msingi achana na adha ya usafiri kuwa wa shida pia mazingira ndani ya gari yanasikitisha.
Kwa mfano utoke posta mchana uwe unaelekea feri au mbagala au hata basi za mwenge usimame umkute mtu aliyeshiba vizuri/mnene mbele yako then anyooshe mikono kujishika kwenye bomba au kiti harufu kali ya kwapa itakayotoka utatamani ushuke utembee kwa miguu. Je huwa watu hawaogi au ni ugonjwa unaohitaji dawa? Kondacta akiwa anapita kukusanya nauli ndio balaaaa kabisa wengine utazani wanatembea na jalala akinyoosha mkono tu unatoa hela hapo hapo hata chenchi hutamani irudi.
Na kuna wengine wanaotoa harufu mwili mzima mpaka viatu japo amevivaa sijui akivua nini kitatokea. Inakera sana,
Kwa mfano utoke posta mchana uwe unaelekea feri au mbagala au hata basi za mwenge usimame umkute mtu aliyeshiba vizuri/mnene mbele yako then anyooshe mikono kujishika kwenye bomba au kiti harufu kali ya kwapa itakayotoka utatamani ushuke utembee kwa miguu. Je huwa watu hawaogi au ni ugonjwa unaohitaji dawa? Kondacta akiwa anapita kukusanya nauli ndio balaaaa kabisa wengine utazani wanatembea na jalala akinyoosha mkono tu unatoa hela hapo hapo hata chenchi hutamani irudi.
Na kuna wengine wanaotoa harufu mwili mzima mpaka viatu japo amevivaa sijui akivua nini kitatokea. Inakera sana,