Ni true story kumhusu kijana wa kitanzania.

Mwembebasha

JF-Expert Member
Dec 27, 2013
1,425
406
Kuna kijana mmoja alikua anaitwa said kijana huyo shulen kwao wanafunzi wenzake hata mwalimu wake hakuna aliekua anampenda coz alikua kilaza sana...siku moja mama yake alikwenda shulen kwao kufuatilia maendeleo yake mwalimu wake hakumficha akamwambia ukweli kuwa tangu aanze kufundisha hajawah kufundisha mtoto kilaza kama huyo...mama yake akamuhamisha shule na kumuamisha mji kabisa.....miaka 25 baadae yule mwalimu alikua anaumwa na madaktar walimshaur kuwa njia pekee ya yeye kupona ni kufanyiwa operation ya moyo na dr pekee ni mmoja anaeweza fanya hio....mwalimu akafanyiwa operation vizur na alipozinduka alimuona daktar akitabasam mbele yake ghafla daktar alianza kushangaa mwalimu akinza kubadilika ghafla akakata roho yule dkt alipoangalia kujua nin tatizo akamuona said aliekua mfagiaji pale akichomoa waya wa oxygen na kuchomeka simu yake chaji
......
Kama ulifikir doctor alikua said nawe ni kilaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom