WoyooooooYanga Yanga Yanga....natamani ifungwe kila inapocheza ikiwezekana ishuke hadi daraja.
Ahaaaaaa kumbe nawe mwana JangwaniMie simba tu jamaani na kama ile game ya mwisho alipofungwa na Kagera Sugar mbele ya Jiwe basi moyo wangu uliburudika hatari.
(Mnisamehe mikia ndio furaha yangu hiyo) Teh teh teh
Hawa jama marehemu tayari, bado kuwafanyia 40 tuMANCHESTER UNITED
Mie simba tu jamaani na kama ile game ya mwisho alipofungwa na Kagera Sugar mbele ya Jiwe basi moyo wangu uliburudika hatari.
(Mnisamehe mikia ndio furaha yangu hiyo) Teh teh teh
Yaaani. Nilishiba siku ile sikuwa na haja ya kula tena. 😂😂😂😂ile gemu tamu sana
Yaaani. Nilishiba siku ile sikuwa na haja ya kula tena. 😂😂😂😂
Yaani tena kalivunjwa kwa aibu ya mwaka. 😂😂😂😂utani wa ngumi huoo,kale karekodi kalivunjiliwa mbali
Yaani tena kalivunjwa kwa aibu ya mwaka. 😂😂😂😂