Ni thithiii baba thao...

Ni thithiii baba thao...

ATHE..hii kitu inaniumiza sana hivi kila kitu kuhusu ubahili wapare?jamani kwa maisha ya sasa kuna mtu ambae atongi na bajeti...afu wapare wa 1890 AD sio wa sasa,utasikia mara oooh wapare washirikina....oooh mara wapare wabahili....oooh wapare ma la ya jamani mbona kila baya kwetu...nani amesema kuna kabila halina hivyo vitu kweli kuna kabila fuska kama waleee.......wanaokula bunyebwa na matoke.[nawataka radhi}enbu tusichafuane tusije kokosa vimwali humu,napita tu

Hena ni aha?
Mi nivecha
 
ATHE..hii kitu inaniumiza sana hivi kila kitu kuhusu ubahili wapare?jamani kwa maisha ya sasa kuna mtu ambae atongi na bajeti...afu wapare wa 1890 AD sio wa sasa,utasikia mara oooh wapare washirikina....oooh mara wapare wabahili....oooh wapare ma la ya jamani mbona kila baya kwetu...nani amesema kuna kabila halina hivyo vitu kweli kuna kabila fuska kama waleee.......wanaokula bunyebwa na matoke.[nawataka radhi}enbu tusichafuane tusije kokosa vimwali humu,napita tu


nyie si wazee wa kula ugali kwa picha ya samaki....
 
Mti wenye matunda siku zote ndo unapigwa mawe wapare hatuna tatizo na mtu.Nafrah kuwapata dada zangu humu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom