Ni thithiii baba thao...

Ni thithiii baba thao...

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,573
Reaction score
3,254
ATHE..hii kitu inaniumiza sana hivi kila kitu kuhusu ubahili wapare?jamani kwa maisha ya sasa kuna mtu ambae atongi na bajeti...afu wapare wa 1890 AD sio wa sasa,utasikia mara oooh wapare washirikina....oooh mara wapare wabahili....oooh wapare ma la ya jamani mbona kila baya kwetu...nani amesema kuna kabila halina hivyo vitu kweli kuna kabila fuska kama waleee.......wanaokula bunyebwa na matoke.[nawataka radhi}enbu tusichafuane tusije kokosa vimwali humu,napita tu
 
haaa halafu mbaya zaidi hadi lugha mlikimbia nayo,
unajua kule kwetu tupo smart ile mbaya
hata kama huna shilingi lakini lazima kwenye mfuko wa sharti
pawe na kalamu zaidi ya tatu, chezea marangu weye B'REAL
sinyie ndo mlitupa jina..etiii wapareniiiiiiiiiiii wapareni hahahah chaga banaaa,we palestina au marangu wanao ringaa
 
Last edited by a moderator:
haaa halafu mbaya zaidi hadi lugha mlikimbia nayo,
unajua kule kwetu tupo smart ile mbaya
hata kama huna shilingi lakini lazima kwenye mfuko wa sharti
pawe na kalamu zaidi ya tatu, chezea marangu weye B'REAL
hahah wale wa marangu mtoni,kilema...kisambio0 hahaha umenikumbusha kwa mama mrema au godilizeniiiii..eeeh mkuu
 
siamini kweli hakuna vapare humu theeeeeeeeee...haya valeeee vya thame,vudee,gonja,mbaga, mamba miamba,uthangi,ugweno,chekereni
 
siamini kweli hakuna vapare humu theeeeeeeeee...haya valeeee vya thame,vudee,gonja,mbaga, mamba miamba,uthangi,ugweno,chekereni

Thamaki thi kitu avar..kitu ni.mthuthi!
 
Wapare wa kiume kwa gubu balaaa
 
wengine ni wa hilo jina ambalo
nashindwa kuliandika
B'REAL na weye wa nchi gani kati ya hizi ulizotaja hapa chini.

hahah wale wa marangu mtoni,kilema...kisambio0 hahaha umenikumbusha kwa mama mrema au godilizeniiiii..eeeh mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom