mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Mbwa ni Pet animal!SIO Mbuzi na kuku!
Watz tuache inferiority complex! Tusidhani kila afanyalo mzungu ni zuri na la kwetu baya! Mzungu kama angembeba mbuzi na kupakia watoto kwenye toroli sidhani kama angelaumiwa! Oh, God liberate our minds and let us come to our original senses!
Mbwa ni Pet animal!SIO Mbuzi na kuku!
[/QUO
Kwa taarifa yako mh; hata Mbuzi na Kuku ni Pets.
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
![]()
Hehehehe...hivyo ndivyo watu ma genius wanavyoishi!!
Mkuu hii ya kubeba kitoweo mgongoni is too much. Afu ndugu yangu companero atasema huo ni ubunifu.
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
![]()
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
![]()