Ni tabia mbaya

>Ni tabia mbaya kuongea jambo serious huku ukijichekelesha.
>Ni tabia mbaya kuingia kwenye sebule ya watu na kukanyaga kapeti na miviatu yako yenye matope.
 
Ni tabia mbaya kuwa na multiple ID's humu jamvini, wasipokoment thread zako unatumia ID nyingine kujikoment mwenyewe! Lol
 
ni tabia mbaya kupga mluzi chooni, ni tabia mbaya kuvaa dera barabarani ni tabia mbaya kugombania shuttle za bibo
 
Back
Top Bottom