Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Ni tabia mbaya kila siku hukosei mda wa msosi unapoenda kwa watu,
Ni tabia mbaya unaenda kwa watu halafu unasahau kitu makusudi ili kesho uje kukichukua mda wa msosi.
Ni tabia mbaya magamba kusifia ujinga.
Ni tabia mbaya umeona thread halafu huna mchango
Ni tabia mbaya unakaa JF mpaka saa kumi na moja asubuhi halafu hutumiwi PM wala notification ya like
Ni tabia mbaya kuvunja sheria za JF
Ni tabia mbaya unaenda kanisani umevaa mlege,au sketi fupi ukiinama wakati wa kwaya utamu unaonekana
endelea
Ni tabia mbaya unaenda kwa watu halafu unasahau kitu makusudi ili kesho uje kukichukua mda wa msosi.
Ni tabia mbaya magamba kusifia ujinga.
Ni tabia mbaya umeona thread halafu huna mchango
Ni tabia mbaya unakaa JF mpaka saa kumi na moja asubuhi halafu hutumiwi PM wala notification ya like
Ni tabia mbaya kuvunja sheria za JF
Ni tabia mbaya unaenda kanisani umevaa mlege,au sketi fupi ukiinama wakati wa kwaya utamu unaonekana
endelea