Ni tabia mbaya

Ni tabia mbaya

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Ni tabia mbaya kila siku hukosei mda wa msosi unapoenda kwa watu,
Ni tabia mbaya unaenda kwa watu halafu unasahau kitu makusudi ili kesho uje kukichukua mda wa msosi.
Ni tabia mbaya magamba kusifia ujinga.
Ni tabia mbaya umeona thread halafu huna mchango
Ni tabia mbaya unakaa JF mpaka saa kumi na moja asubuhi halafu hutumiwi PM wala notification ya like
Ni tabia mbaya kuvunja sheria za JF
Ni tabia mbaya unaenda kanisani umevaa mlege,au sketi fupi ukiinama wakati wa kwaya utamu unaonekana

endelea
 
Ni tabiya mbaya kuandika haya uliyoandika
 
Ni tabia mbaya kutongozatongoza kila dem
Ni tabia mbaya kujampa hovyo mbele za wa2
 
ni tabia mbaya kuvunja amri ya sita.....
ni tabia mbaya kumrape mtoto mdogo...
ni tabia mbaya kukojoa barabarani...
 
nitabia mbaya wadada kuanika chupi bafuni tukiingia kuoga tunadinda, wakati ni chupi ya Sister unayemfata ................
 
nitabia mbaya wadada kuanika chupi bafuni tukiingia kuoga tunadinda, wakati ni chupi ya Sister unayemfata ................

nitabia mbaya kudinda
 
ni tabia mbaya kuvunja amri ya sita.....
ni tabia mbaya kumrape mtoto mdogo...
ni tabia mbaya kukojoa barabarani...
tabia mbaya kupiga chabo
 
Back
Top Bottom