Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Laki tatuBei gani Mkuu?
Laki tatuBei gani Mkuu?
Unauzaje hio mkuu, ni rangi gani? Black or White.Mwiyuzi ukichemka njoo nikuuzie Microsoft Lumia 650 Dual SIM
Andoid zotePoleni na kazi wanajamvi!
Naomba kuulizia kuhusu simu zenye application ya microsoft words, excel n.k
Nimetamani kuwa natumia simu kwenye kufanya kazi za microsoft word wakati ambao siko na laptop karibu.
Naomba kujua ni simu aina gani zina uwezo huo na bei zake kama ikiwezekana.
Natanguliza shukrani!
Black, bei LAKI TATUUnauzaje hio mkuu, ni rangi gani? Black or White.
Nahitaji mkuu, nisaidie kama naweza kupata mpya, maduka mengi wanauza white. Msaada wa kujua duka hio Lumia 650Black, bei LAKI TATU
mkuu, hii yangu haina tatizo lolote hata kwa fundi haikupitia nimeshaiupdate ina WINDOWS 10 CREATORS UPDATE, now ipo smooth,ila kama unataka mpya waweza fika posta ila bei yake imechangamka kidogoNahitaji mkuu, nisaidie kama naweza kupata mpya, maduka mengi wanauza white. Msaada wa kujua duka hio Lumia 650