venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,766
- 4,067
Chief upoo?Mimi Chief Engineer siwez kung'ang'ana na ka mke kamoja kila siku...
Yaan kila siku papuchi moja hiyo hiyo!!! Loooh Ptuuuuuuuuu
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Chief upoo?Mimi Chief Engineer siwez kung'ang'ana na ka mke kamoja kila siku...
Yaan kila siku papuchi moja hiyo hiyo!!! Loooh Ptuuuuuuuuu
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Wakati wa Adamu kulikuwa na mke mmoja, No option, Tazama waliomfuatia walichofanya ndo sahihiKwani Mungu alimpa Adamu wangapi?Mungu alichompa Adamu ndicho sahihi,zaidi ya hapo ni promiscuity au uzinzi .
Hata Ibrahim alikuwa nzinzi duh hatareeeKwani Mungu alimpa Adamu wangapi?Mungu alichompa Adamu ndicho sahihi,zaidi ya hapo ni promiscuity au uzinzi .