Eto'o ni mchezaji mzuri sana; Juzi tulipowafunga Man Utd 3-1. Eto'o alipiga mashuti 4 tu golini kwa Manchester United, mashuti 3 yakawa magoli, shuti 1 tu ndo likapotea.
Mechi zote ngumu alizocheza amefunga: Mechi na LIverpool pia alifunga; ana magoli 6 hadi sasa. Kulingana na utaratibu wa Chelsea; mchezaji mwenye umri zaidi ya miaka 30 anapewa mkataba wa mwaka 1, unaongezwa mkataba kulingana na kazi yako; mwishoni mwa msimu atakuwa huru, kama Chelsea wataridhika na kazi yake wanaweza kumwongeza mkataba. Hata Frank Lampard ana mkataba wa mwaka 1, Ashley Cole pia. Huu ndo utaratibu wa Chelsea FC.
Perfomance ya Eto'o iko vizuri na inaimarika siku hadi siku!
Ni vema aongezwe mkataba na pia kuna mengi Zaidi mazuri Huyu Eto'o anaweza akafanya! Tutegemee kumuona akijituma Zaidi. Na pia ukita ujilizishe Zaidi unaweza ukayatafuta maelezo ya Mourinho uone alisema Nini baada ya game ya Man Utd Kati ya Eto'o na Torres?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.