Jina lina matter muda fulani kwa kuwa mkiwa hata kwenye kupeana raha kuna kuitana majina mfano "asante ... Juma/Asha Baba/Mama" huoni unaweza kuwa unataja mzazi wako?
Kwenye kurithisha majina watoto, mtoto si sawa akawa na jina la mama/baba then ni sawa na babu na bibi yake, kwa wazungu ndio wanaleta majina ya Junior but ki afrika hatuna utamaduni huo kabisa
naweka hoja ya haja
wadau naweka hoja ya haja jamvini, je ni sawa kuoa/kuolewa na mtu mwenye jina sawa na mzazi wako?
Dahhh Maswali mengine bwanammmmmmhhhhhh
wadau naweka hoja ya haja jamvini, je ni sawa kuoa/kuolewa na mtu mwenye jina sawa na mzazi wako?
Jina lina matter muda fulani kwa kuwa mkiwa hata kwenye kupeana raha kuna kuitana majina mfano "asante ... Juma/Asha Baba/Mama" huoni unaweza kuwa unataja mzazi wako?
Kwenye kurithisha majina watoto, mtoto si sawa akawa na jina la mama/baba then ni sawa na babu na bibi yake, kwa wazungu ndio wanaleta majina ya Junior but ki afrika hatuna utamaduni huo kabisa
naweka hoja ya haja