GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Najua ni jambo ambalo wengine hawatopenda hata kulisikia lakini ni maoni
na mtazamo wangu tu!
Binafsi naona ni sahihi nyerere kuwa baba wa CCM na
si baba wa Taifa, kama angekuwa baba wa Taifa ulipoanza mfumo wa Vyama vingi
ilibidi asiegemee upande wowote kama alivyofanya. Matokeo yake ya kukumbatia
chama cha mapinduzi ndio haya ya mafisadi waliojazana serikalini.
Nawasilisha!
na mtazamo wangu tu!
Binafsi naona ni sahihi nyerere kuwa baba wa CCM na
si baba wa Taifa, kama angekuwa baba wa Taifa ulipoanza mfumo wa Vyama vingi
ilibidi asiegemee upande wowote kama alivyofanya. Matokeo yake ya kukumbatia
chama cha mapinduzi ndio haya ya mafisadi waliojazana serikalini.
Nawasilisha!