Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,064
Wazima jamani,its time to start a new relationship now.Kuna boy mmoja ivi ametokea kunipenda and the way i see sioni tatzo kwa kaka wa watu,ila ishu ni umri sasa tunalingana wote tupo 26.Sjawai kua na bf ambae tunalingana umr kiukweli na ktu nnachofkiriaga naona kama haiwezekani kumake future.Em nsaidien jaman kama fikra zangu ni sahihi ama sivyo??
ungeweza kunipa namba ya huyo mpenzi wako ningemfundisha maneno ya kukwambia ....naamini wala usinge anzisha hii sred na wala usingekuwa na hofu juu ya hilo
Kokubanza-G labda nikupe hints chache tu labda zitasaidia:
1.Mwanamke mara nyingi anawahi kuzeeka kwa sababu mbalimbali kama vile kuzaa,dio maana inapendekezwa mume kuwa walau mkubwa kuliko mkewe kwa miaka kadhaa.
2.Haiko sientifically proved lakini insemekana watu wanaooana umri mmoja mara nyingi heshima huwa kidogo sana au hamna kabisa,nina afiki zangu kama wawili hivi walioexpirience hilo jambo.
3.Kwa kuwa mume nidye apaswa kuwa kichwa cha famili inapendeza angalau awe amemzidi mkewe miaka kadhaa ili kumheshimu mume kuonekane kihalisi kwamba yeye ni mkubwa kwako si kifamilia tu bali hata umri.
Hizo ni facts chache tu zihusuzo mahusiano ya watu ambayo huenda yakaishia kwenye ndoa lakini umri wanaendana,lakini hizo zisikupe presha na kiwewe,si mara zote mabo yaweza kuwa hivyo.
so kaa chini ufikirie pande zote mbili na kisha ufanye maamuzi sahihi ili usije jutia maisha yako ya ndoa.
uko sawa kabisa; hakuna furaha kama mke wako kukusalimia shikamoo baba. nawe ukajibu marhaba mamaa - hujambo. wanaolingana wanasalimiana mambo / he vipi utafikiri wahuni flani vile
yah,from april nmemsubr sana kwa kumheshm koz nlitegemea angenambia kma nlimkwaza.Mayb sio rizk kma wajumbe walivochangia.Nmeamua kua na mtu but uyu anaetaka niwe gf wake tatzo tunalingana umri inanpa shda kdogowe koku si ndio ulikuwa unalalamika kuwa jamaa ukimuomba dusherere hak
Kama yangekuwa sahihi matatizo yasingekuwepo ktk ndoa.
yani we unalalamika mwanaume na mwanamke mko sawa kiumri wakati mi tangu nianze mahusiano sijawahi kuwa au kumpenda msichana ambaye si tu wa chini ya umri wangu bali hata wakuwa sawa kiumri .wote wamenizidi miaka miwili mitatu mmoja.........na mbona tukawa tunapendana na kuheshimiana kama kawa.......sema huwa tunaachana kwa mambo mengine tu ila sio heshima au umri ukawa tatz0
Kokubanza-G labda nikupe hints chache tu labda zitasaidia:
1.Mwanamke mara nyingi anawahi kuzeeka kwa sababu mbalimbali kama vile kuzaa,dio maana inapendekezwa mume kuwa walau mkubwa kuliko mkewe kwa miaka kadhaa.
2.Haiko sientifically proved lakini insemekana watu wanaooana umri mmoja mara nyingi heshima huwa kidogo sana au hamna kabisa,nina afiki zangu kama wawili hivi walioexpirience hilo jambo.
3.Kwa kuwa mume nidye apaswa kuwa kichwa cha famili inapendeza angalau awe amemzidi mkewe miaka kadhaa ili kumheshimu mume kuonekane kihalisi kwamba yeye ni mkubwa kwako si kifamilia tu bali hata umri.
Hizo ni facts chache tu zihusuzo mahusiano ya watu ambayo huenda yakaishia kwenye ndoa lakini umri wanaendana,lakini hizo zisikupe presha na kiwewe,si mara zote mabo yaweza kuwa hivyo.
so kaa chini ufikirie pande zote mbili na kisha ufanye maamuzi sahihi ili usije jutia maisha yako ya ndoa.
sijakuelewa vizuri hapo kwenye bold, ufafanuzi tafadhaliMmmmmh! Wakati wewe umejichokea mwenzio ndio kwaaanzaaa inasimama muda wote kha!! Subiria wataalamu waje!!
Kokubanza-G labda nikupe hints chache tu labda zitasaidia:
1.Mwanamke mara nyingi anawahi kuzeeka kwa sababu mbalimbali kama vile kuzaa,dio maana inapendekezwa mume kuwa walau mkubwa kuliko mkewe kwa miaka kadhaa.
2.Haiko sientifically proved lakini insemekana watu wanaooana umri mmoja mara nyingi heshima huwa kidogo sana au hamna kabisa,nina afiki zangu kama wawili hivi walioexpirience hilo jambo.
3.Kwa kuwa mume nidye apaswa kuwa kichwa cha famili inapendeza angalau awe amemzidi mkewe miaka kadhaa ili kumheshimu mume kuonekane kihalisi kwamba yeye ni mkubwa kwako si kifamilia tu bali hata umri.
Hizo ni facts chache tu zihusuzo mahusiano ya watu ambayo huenda yakaishia kwenye ndoa lakini umri wanaendana,lakini hizo zisikupe presha na kiwewe,si mara zote mabo yaweza kuwa hivyo.
so kaa chini ufikirie pande zote mbili na kisha ufanye maamuzi sahihi ili usije jutia maisha yako ya ndoa.
you made a point, mtoa mada zingatia hii
nice..vipi kama anaekuzidi umri alikutreat vibaya,madharau n all...halafu akatokea mnaekaribiana sana umri almost kulingana na akawa anakupenda na kukutriti vizuri...utajali suala la umri?
for me,umri sio kigezo kikuubwa
Wazima jamani,its time to start a new relationship now.Kuna boy mmoja ivi ametokea kunipenda and the way i see sioni tatzo kwa kaka wa watu,ila ishu ni umri sasa tunalingana wote tupo 26.Sjawai kua na bf ambae tunalingana umr kiukweli na ktu nnachofkiriaga naona kama haiwezekani kumake future.Em nsaidien jaman kama fikra zangu ni sahihi ama sivyo??