Mmmmhhh..ni mtihani..Akilala mkianza anashtuka na hatak kulal pemben..yey ni katikati tu..Na mkiwepo ndani hatak kucheza mbal na nyie..
nadhan sio sahihi watoto wenyewe wa siku hizi miaka miwil tayar maneno kibao
ila sasa wanajamvi kama ni kule kwetu@tandale ambako ni one room mkitaka kugegedana itakuaje hapo
Kujiheshimu ni muhimu sana, hata kama una hamu kiasi gani subiri alala au aende kucheza ndo mfanye
nadhan sio sahihi watoto wenyewe wa siku hizi miaka miwil tayar maneno kibao
ila sasa wanajamvi kama ni kule kwetu@tandale ambako ni one room mkitaka kugegedana itakuaje hapo
Mmmmhhh..ni mtihani..Akilala mkianza anashtuka na hatak kulal pemben..yey ni katikati tu..Na mkiwepo ndani hatak kucheza mbal na nyie..
hapo ni kimya kimya hakuna miguno wala nini, kukosa pesa mbaya sana jamani!
Duh, mkuu una experience ya hali ya juu sana. Congratulation!ile kitu nayo ikichanganya unaweza ukadhan upo kimya kumbe unatoa miguno ile mbaya
Kwanza mtoto anaweza kumchukia baba yake kwa jinsi anavyomkaba mamake bila ya huruma