Ni sahihi mtoto kushuhudia?

Ni sahihi mtoto kushuhudia?

PG VL
Hapa hata wale over 18 hawaruhusiwi kuangalia live game, hivyo tuwatendee haki watoto kama mazingira ni magumu ni bora game zichezwe wakati watoto wamelala.
Likwanda watoto wengine unaeza sema wamelala kumbe wanafatilia game linavyoendelea na ukjifanya kumshtua ndo anajifanya anakoroma ile mbaya.....
 
Last edited by a moderator:
Hiv ni sahihi mtoto kuona baba na mam yake wanafanya mapenzi? Mtoto wa miaka miwil,.Hajui hata kuongea vizuri, Kwa huu umri atakuja kukumbuka alichoona?

Kimaadili siyo vyema na mtoto hata kama hajui mnochofanya lakini si vyema kbs kwa wazazi kuendeleza tabia kama hizi maana azileti mwenendo mzuri kwa mtoto.
 
Mmmmhhh..ni mtihani..Akilala mkianza anashtuka na hatak kulal pemben..yey ni katikati tu..Na mkiwepo ndani hatak kucheza mbal na nyie..

Itabidi mumpe piritoni ameze ili awe na usingizi mzito.
 
hapo ni kimya kimya hakuna miguno wala nini, kukosa pesa mbaya sana jamani!

hii
hump.gif
bila miguno haiendi wengine hawashuki mpaka wasikie miguno
 
Mtoto tu aliye tumboni huwa haishauriwi kwa wazazi wake kukwaruzana au kupandishiana vibesi...
Sasa je huyu wa miaka miwili anayeshuhudia wazazi wakicheza Segere!!!

Hiv ni sahihi mtoto kuona baba na mam yake wanafanya mapenzi? Mtoto wa miaka miwil,.Hajui hata kuongea vizuri, Kwa huu umri atakuja kukumbuka alichoona?
 
Mmmmhhh..ni mtihani..Akilala mkianza anashtuka na hatak kulal pemben..yey ni katikati tu..Na mkiwepo ndani hatak kucheza mbal na nyie..

Hii stail ya kulala katikati mtoto cku moja wacha aikamate ya baba yake kwanguvu huku aking'ang'ania kuwa "mama nimeokota betri kitandani" na mdingi jicho likiwa limemtoka akimsihii liache liache....!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmh thubutu yako watoto wa siku hizi ni zaidi ya kirambasi, epuka sana kufanya mchezo huu mbele yao hata kama ana mwaka.
 
aisee hata kama mtoto ni mdogo vp hiyo kitu si sawa hat kidogo. wazazi muwe na maadili kidogo. Mlaze mtoto kwanza kisha baadae ndo mwendelee na mchezo.
 
Hiv ni sahihi mtoto kuona baba na mam yake wanafanya mapenzi? Mtoto wa miaka miwil,.Hajui hata kuongea vizuri, Kwa huu umri atakuja kukumbuka alichoona?

Sio kitu kizuri kwanza hakimjengi mtoto kimaadili na pili atakuja kumpa mzazi aibu mbele za watu.Kitendo hich kilaanike na kisitokee kabisa
 
Mmmmh...Hiyo mbinu ya kumuacha acheze siku nzima ni nzuri, Usiku analala kama pono...Ila tatizo kwangu linakuja....Mama yake ni tipwatipwa, Sasa kila game ikikolea lazima mtoto anakula teke la mgongo kama sio kichwa...Akikurupuka hapo utadhani amelamba pilipili...hicho kilio..Yaani na appetite yote inakuwa imekatika...kumbembeleza saa nzima.
 
Back
Top Bottom