Ni sahihi mkeo kufanya haya?

Ni sahihi mkeo kufanya haya?

handsome1

Senior Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
183
Reaction score
24
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
 
kumbe kina bamdogo ingekuwa baba wa mtoto tungejadili mengine.........

inawezekana ni kweli wanajadili kuhusu huyo maswala ya mtoto
 
Una wasiwasi na mashemeji zake wanakumegea?,undoa shaka mkuu,ndugu wanaona wanao wajib kumsomesha mtoto wao,ila wewe kama baba mlezi yapaswa kujulishwa.
 
ukipenda boga..... .................
 
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
Wanawake elfu nane tena vigoli sio wale waliokomaa kwenye shindano la Maimatha Clouds TV wanaandamana kuwa hawana wa kuwaoa sasa wewe unatafuta headache kwa kuwowa mwanamke mwenye watoto unategemea usaidiwe nini hapo.Lazima aendelee kuwasiliana na shemeji zake maana si ana mtoto wao hata kama ukiamua kumpeleka mtoto kwa baba yake bado kuna connections tu
 
hakuna lolote. Huyo mkeo huzima taa na shemejize mbona wasikae pamoja nawe kwenye mjadala? isijekuwa kaka unaitwa "ile ni meli tu naipakuwa du kina"
 
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?

Ni sahihi.

Wewe hutaki mtoto ajue baba zake wadogo?

Kama unaona si sawa ulitegemea nini ulipooa mwanamke mwenye mtoto? Ulitegemea umkate mtoto kabisa kutoka familia ya baba yake?
 
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
inategemeana na jinsi mnavyoaminiana but kama wana nia nzuri kwa nini wasije home kwako wanaogopa nini ila mafichoni huko sio kuzuri mambo mazuri hufanyika kwa uwazi ikiwezekana akupe taarifa coz dunia imechafuka
 
siyo sahhihi kabisa, kama ni matunzo wanaweza kuja hata nyumbani wakajadili na wewe upopamoja na wao kwani hata wewe nibaba mlezi wa watoto hao. kwetu ni mwiko kwa mwanaume kuoa mwanamke aliye zao na mwanamke mwingine kabla ya wewe sababu ya matatizo kama hayo. Baba kuwa makini sana mkeo siyo mwaminifu .mwambie mambo yote yatajadilwa mkiwa pamoja
 
Mimi binafsi naona ni sahihi sana kwa faida ya mtoto huyo. Ila kwa mwanaume mwenye fikra mgando ataona siyo sahihi. Kama imekutokea wewe be much smat, la sivyo utaonekana mume gubu. Play your party well
Yawezekana huyo mtoto, umtendei haka as Baba bora. Kwa hiyo Mama yake anafanya yake.
Kumbuka pia watu uishi kwa historia. Uwezi jua mke wako na ndugu za baba mtoto wake waliishi vipi siku za nyumba.
 
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
Handsome unaoaje mtu aliezaa na mtu mwngine? Mmh tunatofautiana
 
Last edited by a moderator:
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?

Huyo mtoto si akakae kwa baba wadogo sake? Apunguze bughuza.
 
Maelezo uliyotoa hayajitoshelezi...unless unataka tufanye uaguzi
 
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.

Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.

Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?


Acha U.B.W.E.G.E
Sio sahihi kwa mtu yeyote kufanya appointmentt na mkeo popote pale
wenye shida na mtoto waje nyumbani waongee na mtoto na mkeo huku wewe ukiwepo
sebuleni,wakimaliza waende zao...

unaibiwa.....
 
Ni vizuri ukaishi kwa amani kunako MTIMA wako Mkuu.
Kwakua unaonyesha wasiwasi juu ya uhusiano wao sema HAPANA.
Kama malezi unampatia wewe,wao huko vichochoroni wana kwenda kumpa nini?
Kama itafaa wamchukue huyo mtoto.
 
Back
Top Bottom