Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,831
- 244,324
Ninawaomba wajuzi wa mambo ya protokali na utawala bora wanisaidie mimi na wengine wenye mapungufu yanayoshabihiana na yangu.
Mh. Balozi Ali Karume aliyekuwa msimamizi wa ndani wa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar ameteuliwa ubunge na hatimaye ameukwaa uwaziri wa miundombinu.
Je, kwa msimamizi wa uchaguzi kuteuliwa hakuwezi kuwafanya wadau watilie shaka ripoti yake ya uchaguzi? Na je kitendo hikl ni halali? Na je, kulikuwa na haja gani kuteua msimamizi wakati kuna wazanzibar kibao wenye uwezo?
Mh. Balozi Ali Karume aliyekuwa msimamizi wa ndani wa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar ameteuliwa ubunge na hatimaye ameukwaa uwaziri wa miundombinu.
Je, kwa msimamizi wa uchaguzi kuteuliwa hakuwezi kuwafanya wadau watilie shaka ripoti yake ya uchaguzi? Na je kitendo hikl ni halali? Na je, kulikuwa na haja gani kuteua msimamizi wakati kuna wazanzibar kibao wenye uwezo?