youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,254
- 2,910
Wakuu kuna ndugu yangu mmoja.
Ana mtoto wa kike amemaliza kidato cha sita, amepata nafasi ya kwenda chuo lakini amekosa mkopo.
Wazazi wake hawana pesa kabisa ila wana viwanja (kijijini kwao) na mashamba ila hayana thamani kubwa sana.
Sasa wao wanaona kama chuo ni kutoboa maisha mwanamke anataka wauze mashamba wamsomeshe mtoto wao.
Mwanamke hataki kuuza anataka asubiri mwaka mwingine aombe tena mkopo.
Je, ni sahihi kuuza mashamba kumsomesha mtoto au wasubiri aombe tena mkopo mwakani.
NB anaenda kusoma kozi ya ualimu ngazi ya degree.
Ana mtoto wa kike amemaliza kidato cha sita, amepata nafasi ya kwenda chuo lakini amekosa mkopo.
Wazazi wake hawana pesa kabisa ila wana viwanja (kijijini kwao) na mashamba ila hayana thamani kubwa sana.
Sasa wao wanaona kama chuo ni kutoboa maisha mwanamke anataka wauze mashamba wamsomeshe mtoto wao.
Mwanamke hataki kuuza anataka asubiri mwaka mwingine aombe tena mkopo.
Je, ni sahihi kuuza mashamba kumsomesha mtoto au wasubiri aombe tena mkopo mwakani.
NB anaenda kusoma kozi ya ualimu ngazi ya degree.