Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
Habarini wakuu!
Kwa kweli ni jambo la kushangaza kuona kwamba mwanamke aliyeolewa au ambaye yupo kwenye mahusiano anafanya ukatili wa kumnyima mume wake unyumba(sex)
Binafsi huwa sijuagi sababu ambazo ziko serious kwa mwanamke kumnyima mumewe.
Bali na hilo tu ni nadra sana au hakuna kabisa sijawai kusikia eti mwanaume kumnyima mkewe tendo la ndoni
Je! Ndugu zangu wa kikeni tuseme nyie sio wahitaji sana katika hili au ndo kujitoa ufahamu
Karibuni
Kwa kweli ni jambo la kushangaza kuona kwamba mwanamke aliyeolewa au ambaye yupo kwenye mahusiano anafanya ukatili wa kumnyima mume wake unyumba(sex)
Binafsi huwa sijuagi sababu ambazo ziko serious kwa mwanamke kumnyima mumewe.
Bali na hilo tu ni nadra sana au hakuna kabisa sijawai kusikia eti mwanaume kumnyima mkewe tendo la ndoni
Je! Ndugu zangu wa kikeni tuseme nyie sio wahitaji sana katika hili au ndo kujitoa ufahamu
Karibuni