Ni sababu ya Tanzania kuangamia?

Ni sababu ya Tanzania kuangamia?

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,519
Reaction score
12,488
Nchi yetu imefika hapa kwa sababu ya uongozi mbovu,ufisadi,rushwa,utekaji,uchaguzi wa kishetani,maisha mabovu. watu wanachuki na serikali na CCM. CCM sio chama tena cha mkulima na mfanyakazi. kila mtu ninayezungumza naye ana maumivu makubwa. Tulishindwa kuziba nyufa ,ukuta umeanguka.hakika Mtalipia hizi damu kuanzia kwa aliyetoa Amri nk.
 
Back
Top Bottom