Imebainika kuwa saa 144 zilizobakia CCM na Mgombea wake Dr Magufuli wamezidi kukubalika kwa wanainchi kutokana na sera zinazogusa wananchi wa kawaida.Wakati chama cha Chadema kimezidi kupoteza mwelekeo kwa jamii kutokana na kukumbatia mafisadi na sera zao za vurugu.Saa 144 ndizo zilizobakia kwa Chadema kuendelea kusikika katika ulimwengu wa siasa za Tanzania.
CCM inashinda uchaguzi wa Jumapili. Ima fa ima!
Utakufa weww
Kwa haki au kwa bunduki?
CCM inashinda uchaguzi wa Jumapili. Ima fa ima!
Kwa haki au hila, watashinda tu.
chadema hoi mwanza....... wamebaki na wenye boda boda ambao hawajamaliza mikopo!
We naye ueleweki nigga too double standard. We believe in changes.
watajiju nani kawaambia kuwa nyuki anakumbatiwa?Chadema byebye