dini ni takataka zilizo letwa na waarabu mkuu fanya kazi kwa bidii upate maisha mazuri hakuna maisha baada ya kifo
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Watu wanafuata dini wanazozikuta kwa wazazi wao, hakuna reference yeyote.
Nimesema tuassume yupo hata kama nina amini yupo au hayupo haina maana coz tumeassume yupo.Wewe unapinga uwepo wa Mungu au unaukubali? Tuanzie hapo.
sidhani kama kuna watanzania ambao wanakua watu wazima bila kukutana na diniNa wapo wanaoitafuta kweli na kufuata dini kutokana na msukumo wa imani
Kwa hiyo mkuu unamanisha watu ni wahanga(waathirika) wa maamuzi ya wazazi wao? Ina maana hakuna wanachojua kuhusu Mungu.Watu wanafuata dini wanazozikuta kwa wazazi wao, hakuna reference yeyote.
Ndio mkuu. Ni kama lugha, kile unachokikuta kwenye jamii yako kinakua chako.Kwa hiyo mkuu unamanisha watu ni wahanga(waathirika) wa maamuzi ya wazazi wao? Ina maana hakuna wanachojua kuhusu Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli yawezekana hakuna maisha baada ya kifo maana hakuna anayeweza kuthibisha kuwa yapo pasipo kutia shaka.Dini ni takataka zilizo letwa na waarabu mkuu fanya kazi kwa bidii upate maisha mazuri hakuna maisha baada ya kifo
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hilo jambo kubwa ni lipi mkuu.Na usipofanikiwa kupata maisha mazuri?Kwamba tupo duniani ili tufanye tu kazi na tupate maisha mazuri? (Ambayo sio kila mtu huyapata) lazima kuna jambo kubwa zaidi ya maisha ya hapa Duniani.
Kama hakuna basi huu ujasiri wa kusema ni neno la Mungu wanautoa wapi?Hakunaga
Umetaja Biblia na Qur'an! Hivi ni vitabu viwili ambavyo haviwezi ku proof Mungu mmoja.Wapo watu wanaopinga uwepo wa Mungu na wengine wanakubali uwepo wake, kwa ninyi mnaopinga hebu tuassume Mungu yupo na mnisaidie kuuliza hawa watu wa hizi imani ni reference gani huru kutoka kwa Mungu wanatumia kusema au kuthibitisha pasipo na shaka kuwa vitabu vya Biblia na Quran ni vya Mungu mwenyewe na si kazi ya ubunifu kutoka katika vinywa vya watunzi wenyewe.
Kupitia hizo reference huru tutaweza kujua lipi si neno la Mungu.
Mfano ikitokea waziri na naibu waziri wote wanatoa nyaraka tofauti wakidai ni ujumbe kutoka kwa Rais kwenda kwa wananchi, ili uweze kujua ni yupi kati yao mwenye ujumbe wa Rais lazima utumie reference huru kung'amua ikiwemo Rais mwenyewe kuondoa hiyo sintofahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotafuta kweli ndo viumbe huru wanaotaka kumjua Mungu. Huwezi kumjua Mungu kwa kuamini tu bila kuujua ukweli.Na wapo wanaoitafuta kweli na kufuata dini kutokana na msukumo wa imani
Unamanisha kuna Mungu zaidi ya mmoja?. Mana vyote vinadai Mungu ndo muumba wa ulimwengu huu na vyote vilivyomo. Kama ni mmoja basi ni yupi na tunathibitishaje kupitia reference huru?Umetaja Biblia na Qur'an! Hivi ni vitabu viwili ambavyo haviwezi ku proof Mungu mmoja.
Mungu wa Biblia na Mungu wa Qur'an ni tofauti.
Miungu ni mingi, ila Mungu aliyeumba mbingu na nchi ni mmoja. Kumbuka hii miungu ninayoisema ina wafuasi/waamini wake wanayoitambua kama Mungu. Kwa hiyo kila wafuasi wanamnasibisha kuwa mungu wao ndiye muumba wa mbingu na nchi, na vitu vyote vilivyomo.Unamanisha kuna Mungu zaidi ya mmoja?. Mana vyote vinadai Mungu ndo muumba wa ulimwengu huu na vyote vilivyomo. Kama ni mmoja basi ni yupi na tunathibitishaje kupitia reference huru?
NB
Nimetaja hivyo kulingana na mazingira yetu yalivyo kuna kitabu kinaitwa GENA nacho kinaeleza hayo mambo na sidhani kama ushawahi kukisikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu sina maana ya kurudi huko. Kwenye post nimekubali au kuassume Mungu yupo. Baada ya kukubali nimetaja vitabu viwili maarufu sana kwenye mazingira yetu vinavyodai ndo vyenye kubeba ujumbe wa Mungu kwa wanadamu vitoe au wanaoviamini watupe reference huru kuthibitisha kweli ni vitabu vya huyo Mungu.Mimi sijawahi kuamini katika coincidence ya ecosystem na nature kwa ujumla wake, kwamba namna vitu kama jua,mwezi,mimea,wadudu,wanyama,bahari,mito n.k vinavyosapotiana kwa pamoja ili tu uhai uendelee kuepo ni imetokea tu kwa bahati mbaya? Kuna aliyeviumba hivyo vitu nakutengeneza system ya namna vitakavyofanya kazi.....mtoa post naona unataka kuturudisha kwenye zile mada za kati ya kuku na yai kipi kilianza kutokea!....