Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 693
- 1,583
Wanawake wenzangu,
Ni red flags gani ukiziona kwa mwanaume unaona kabisa huyu hafai kuwa nae kwenye relationship or hafai kuwa mume. Za kwangu ni:
1. Akiwa hana busara
2. Hana tone ya nzuri kwenye mazungumzo
3. Hana huruma
4. Sio mnyenyekevu
5. Ana apps kama Snapchat, TikTok LOL.
6. Ana post na kujipost kila mara
Hizo ni chache. Naombeni mshare na zenu jamani
Ni red flags gani ukiziona kwa mwanaume unaona kabisa huyu hafai kuwa nae kwenye relationship or hafai kuwa mume. Za kwangu ni:
1. Akiwa hana busara
2. Hana tone ya nzuri kwenye mazungumzo
3. Hana huruma
4. Sio mnyenyekevu
5. Ana apps kama Snapchat, TikTok LOL.
6. Ana post na kujipost kila mara
Hizo ni chache. Naombeni mshare na zenu jamani