Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Salaam wanajamvi.ni marais wa nne (4) toka tumepata uhuru tuliongozwa na hayati baba wa taifa mwalimu j.k.nyrere ,mzee ali hassan mwinyi, mzee benjamin mkapa na sasa tunaongozwa na mh jakaya kikwete.ukimuondoa baba wataifa kati ya hawa watatu mzee mwinyi,mzee mkapa na jakaya kikwete ni yupi anaekuvutia kiutendaji?nawasilisha.