Hakuna mademu wanaoringa jijini kama wale wanaosoma ifm na cbe hata kama kanasoma certificate kanajisikia.ni ngumu sana kuopoa demu pale ifm n' cbe cjui kwann? Bora udsm[/QUOTE
Watoto wa IFM/CBE wagharama wewe!Ukiona huwapati ujue wewe huna hela!Waachie vibopa wa Bot ndo wanawamudu.